ukandamizaji
-
Sauti ya Imam Ali (AS) na tukio la kusikitisha la Kufa baada ya Karbala: Mazishi ya mashahidi na kuanza kwa mateso ya Ahlul-Bayt (AS)
Baada ya tukio la Karbala katika siku ya 11 ya Muharram, mji wa Kufa ulianza kushuhudia hatua ya pili ya ukandamizaji dhidi ya Ahlul-Bayt (AS), ambapo miili ya mashahidi iliachwa bila mazishi huku msafara wa mateka wa familia ya Mtume (SAWW) ukielekezwa kwa nguvu mbele ya Ibn Ziyad.
-
Mtaalamu wa masuala ya usalama: Kikosi cha mtandaoni (cyber) cha Taliban kinafanya shughuli zake kuanzia Ulaya hadi Marekani dhidi ya wakosoaji wao
Bismillah Taban, mtaalamu wa masuala ya usalama kutoka Afghanistan, anasema kuwa Taliban kwa kutumia akaunti bandia na zilizoandaliwa kwa uratibu katika maeneo mbalimbali ya saa duniani, wameanzisha vita vya kimfumo vya kuwachafua wapinzani wao, hasa wakosoaji wa Kishia na vyombo vya habari huru; mbinu ambayo kwa mtazamo wa wachambuzi ni mwendelezo wa sera ya ukandamizaji wa Taliban katika uwanja wa maoni ya umma.
-
Riwaya ya Mapambano ya Wapalestina Dhidi ya Ukoloni katika Miaka ya 1930 / Mizizi ya Uhalifu na Unyama wa Kizayuni Leo Iko Wapi?!
Filamu Palestine 36 inaonyesha kwa ustadi mkubwa kwamba uhalifu wa utawala wa Kizayuni unatokana moja kwa moja na ukatili, uvamizi na unyama wa Dola ya Uingereza katika kipindi cha ukoloni.
-
Jeshi la Iran Lathibitisha kuendelea kutoa Msaada wa Kimkakati kwa wana Harakati za Uhuru za kuyakomboa Mataifa yao dhidi ya Ukoloni na Ukandamizaji
Hatua hii ya Iran inaashiria msimamo wake thabiti katika kuhimiza uhuru na kuunga mkono harakati za kupinga ukandamizaji wa kigeni na ukoloni duniani kote.
-
Kwanini Idadi ya Mazuwari Karbala Inaongezeka?:
Ukarimu wa Iraq kwa Mazuwwari na Ukandamizaji wa Saudia kwa Mahujaji: Tofauti ya Idadi ya Mahujaji na Mazuwari
Uhuru wa Kiimani -Nchini Iraq, kila Muumini ana uhuru wa kutekeleza ibada zake kulingana na Dhehebu lake bila bughudha. Hali ni tofauti na Saudi Arabia ambapo Mahujaji wengine huadhibiwa wakituhumiwa kufanya vitendo vya “shirk” kwa mujibu wa mtizamo wao.