moja kwa mzaha nilimwambia mwanangu “Mwanangu! Kwa nini unanibana sana kuhusu kusali kwa wakati?” Alitabasamu na kusema: «Mama! Ninaogopa tufariki bila kusali kwa wakati na tusipate nafasi ya kurekebisha...»
Shambulio dhidi ya mzee mmoja katika mji wa Torrepacheco katika eneo la Murcia nchini Uhispania limezusha wimbi la ghasia za kibaguzi, huku makundi ya mrengo wa kulia yakitumia tukio hilo kuchochea chuki dhidi ya wahamiaji wa Morocco. Ripoti hii inachunguza chimbuko la tukio, matokeo yake na juhudi zinazoendelea za kudhibiti mgogoro huo.