upendo
-
Hali ya Wasichana katika Uislamu: Upendo, Heshima na Haki
Wasichana katika Uislamu: Hadithi ya Upendo, Heshima na Thamani za Kimungu
Hali ya Wasichana (Mabinti) katika Uislamu inategemea usawa katika uumbaji na heshima ya kibinadamu, ambapo Mwanamke na Mwanaume wameumbwa kutoka nafsi moja. Wanawake wana usawa na wanaume katika kupata elimu, uhuru wa kifedha, na zawadi ya akhera kulingana na matendo mema. Uislamu unathamini sana nafasi ya wasichana katika familia na jamii, hasa katika uba mama na kulea amani na utulivu, na kuziweka nafasi hizi kuwa juu na za heshima.
-
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) na Sanaa ya Kuonyesha Mapenzi Ndani ya Familia
Familia katika mtazamo wa Mtume Mtukufu (s.a.w) si tu kitovu cha utulivu, bali ni uwanja wa kudhihirika kwa maadili ya kimungu. Yeye (s.a.w.w), kwa tabia yake tukufu na kwa kushikamana na mafundisho ya Qur'an kama vile: " - Semeni naye - kwa upole" (قَوْلًا لَّیِّنًا), na "Hakika wewe ni mwenye tabia njema kabisa" (إِنَّکَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِیمٍ), alionesha ustadi wa kipekee katika kuonyesha mapenzi kwa wake na watoto wake. Makala hii, ikitegemea vyanzo vya Kishia, inachunguza mwonekano wa upendo wa Mtume (s.a.w.w) ndani ya familia, na inatoa mafunzo ya kudumu kwa familia za leo.
-
Arubaini ya Imam Hussein (a.s):
Taasisi za Kijamii Nchini Tanzania: BEF na Nyota Foundation Zandaa Tukio la Uchangiaji Damu kwa Upendo na Huruma ya Kibinadamu
Tukio hili limeonesha mshikamano wa kijamii na mshikikano wa kiimani kwa kuenzi mfano wa kujitolea na ubinadamu wa Imam Hussein (a.s), na limekuwa ni ishara muhimu ya mshikamano wa Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla katika kusaidia wenzao wenye uhitaji wa Damu Mahospitalini.
-
"Msaada" na "Ulinzi" wa Familia na Ulinzi wa Sayyid al-Shuhada
Baba ni nguzo kuu ya familia na chanzo cha msaada na usalama; ulinzi wake wa hifadhi ya nyumba na malezi ya watoto ni dhamana ya ukuaji wa vizazi vijavyo na uthabiti wa jamii. Mikono yenye nguvu ya baba haileti tu riziki, bali kwa upendo na kujitolea hujenga kuta za kinga kwa ajili ya amani na ukuaji wa familia.