vituo
-
CNN: "Kwa nini TRUMP analazimisha Dunia iamini kuwa aliharibu vituo vya Nyuklia vya Iran?! Kuna Lengo lipi nyuma ya Uongo wake?!"
Uongo wa Trump ni Taktiki inayojulikana kama: "uongo ukirudiwa mara nyingi huanza kuaminika," ambayo inakusudia kuathiri mtazamo wa umma na hata maamuzi ya kimataifa.
-
Utafiti unaonyesha kuwa maeneo ya nyuklia ya Iran yaliyoshambuliwa na Marekani bado yanafanya kazi kama kawaida - Iran iliwahadaa na kutoa kila kitu
"centrifuges" (au kwa kiswahili: Visukuma ambavyo hutumika katika teknolojia ya nyuklia) zote ziko salama, na ambazo hutumiwa kimsingi kwa urutubishaji wa uranium, mchakato ambao hutenganisha isotopu za uranium ili kuongeza mkusanyiko wa U-235, ambayo huhitajika kwa vinu vya nyuklia.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel: "Haiwezekani kuipigisha magoti Iran"
Ehud Olmert: Ingawa mashambulizi ya anga ya Marekani kwenye vituo vya nyuklia vya Iran yanaweza kuchelewesha kwa muda mpango wa nyuklia wa nchi hiyo, lakini yatakuwa na matokeo mapana zaidi.
-
Mkuu wa Shirika la ujasusi la IRGC na Naibu wake Waliuawa Shahidi
Walinzi wa Mapinduzi walitoa taarifa na kutangaza kuuawa Shahidi Mkuu wa upelelezi Mohammad Kazemi na naibu wake.