Kuzaliwa kwa Masih (Yesu Kristo) ni fursa nzuri kwa watu wa nchi za Ulaya, ambao wengi wao ni Wakristo, kumfahamu mwokozi wa Wanadamu.






Katika hafla ya kuzaliwa Yesu Kristo / Masih Issa bin Maryam (Amani iwe juu yake) vijana wa kampeni ya "Ni nani Imam Mahdi" walianzisha / walijenga Kibanda cha "Mjue Mwokozi" nchini Sweden (Uswidi).
Kuzaliwa kwa Masih (Yesu Kristo) ni fursa nzuri kwa watu wa nchi za Ulaya, ambao wengi wao ni Wakristo, kumfahamu mwokozi wa Wanadamu.