17 Machi 2025 - 17:03
Video | Uwekaji wa Meza ya Iftar katika Mji wa mpakani Kusini mwa Lebanon

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna – Meza ya chakula cha Iftar kwa wafungaji wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, iliwekwa katika Uwanja Mkuu wa mpaka wa Mji wa "Al-Khayyam" Kusini mwa Lebanon. Wakati wa vita vya hivi karibuni, Mji huu ulikuwa mlengwa wa mashambulizi makali zaidi ya anga na ardhini ya jeshi haram la Kizayuni.

Your Comment

You are replying to: .
captcha