17 Machi 2025 - 17:03
News ID: 1543213
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna – Meza ya chakula cha Iftar kwa wafungaji wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, iliwekwa katika Uwanja Mkuu wa mpaka wa Mji wa "Al-Khayyam" Kusini mwa Lebanon. Wakati wa vita vya hivi karibuni, Mji huu ulikuwa mlengwa wa mashambulizi makali zaidi ya anga na ardhini ya jeshi haram la Kizayuni.
Your Comment