17 Machi 2025 - 17:39
Video | Sherehe ya kufunga warsha ya "Wanawake na Upinzani (Muqawamah)" iliyoandaliwa na Tamasha la Kimataifa la Filamu la Upinzani (Muqawamah).

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Hafla ya kufunga warsha ya "Wanawake na Upinzani (Muqawamah)" iliyoandaliwa na Tamasha la Kimataifa la Filamu la Upinzani (Muqawamah) sambamba na uwepo wa watengenezaji Filamu wa Kimataifa kutoka Urusi, Azerbaijan, Afghanistan, Pakistan, India, Kashmir, Venezuela, Lebanon, Syria, Iraq, Tajikistan, Bangladesh, Saudi Arabia, Palestina, Yemen, Uingereza, Indonesia, China, Myanmar, Uturuki na Nigeria, ikiambatana na Hotuba ya Katibu wa Tamasha hili, imefanyika katika Kitivo cha Sanaa na Vyombo vya Habari cha Shahid Avini.

Your Comment

You are replying to: .
captcha