








Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (AS) - Abna - Kwa mnasaba wa Eidul Fitri, kundi la Maafisa wa Utawala na Mabalozi wa nchi za Kiislamu walikutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kabla ya Adhuhuri ya leo (Jumatatu) katika Hosseiniyyah ya Imam Khomeini (RA).
Your Comment