7 Aprili 2025 - 18:35
News ID: 1547443
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Idadi kadhaa ya wafuasi wa Palestina walichoma moto bendera ya utawala wa Kizayuni wakati wa maandamano yao katika Mji wa Rotterdam nchini Uholanzi.
Your Comment