15 Aprili 2025 - 02:01
00:00
00:00
Download

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Sikiliza Sauti nzuri ya Tartil ya Qur'an Tukufu. Hakika Qur'an ni Chakula cha Moyo na Nafsi. Kusoma Qur'an Tukufu, na kutafakari / kuzingatia Aya zake, kunaleta Utulivu Mkubwa katika Nyoyo na Nafsi, na kunapelekea kuokoka Duniani na Akhera. Bali tunasema kwamba usomaji wa Qur'an ni Chakula / Lishe Kamili ya Nafsi, na kutapelekea ukuaji wa kimaanawi / Kiroho, na maendeleo ya ukamilifu wa pande zote.

Tajarma ya Aya Tukufu ya 260, katika Surat Al_Baqarah:

Ukisikiliza Qur'an ikisomwa, itakuletea Utulivu wa Moyo na Nafsi | Sikiliza sauti hii nzuri ya kisomo cha  Aya ya 260 (Surat Al_Baqara)  + Video

"إِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ رَبِّ أَرِنِي كَيْفَ تُحْيِي الْمَوْتَىٰ ۖ قَالَ أَوَلَمْ تُؤْمِن ۖ قَالَ بَلَىٰ وَلَٰكِن لِّيَطْمَئِنَّ قَلْبِي ۖ قَالَ فَخُذْ أَرْبَعَةً مِّنَ الطَّيْرِ فَصُرْهُنَّ إِلَيْكَ ثُمَّ اجْعَلْ عَلَىٰ كُلِّ جَبَلٍ مِّنْهُنَّ جُزْءًا ثُمَّ ادْعُهُنَّ يَأْتِينَكَ سَعْيًا ۚ وَاعْلَمْ أَنَّ اللَّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ".

"Na Ibrahim aliposema: Mola wangu! Nionyeshe jinsi unavyofufua Wafuasi. (Mwenyezi Mungu) Akasema: Huamini?!. Akasema: Kwa nini (naamini)!. Lakini ili utulie Moyo wangu. Akasema: Basi chukua Ndege wanne na uwakusanye kisha (uwachinje), uweke juu ya kila jabali sehemu katika wao. Kisha waite, watakujia mbio. Na jua kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye Hekima".

Your Comment

You are replying to: .
captcha