22 Aprili 2025 - 10:36
News ID: 1551281
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Sheikh Ridha Dosa akitoa Somo la Qur'an Tukufu Zanzibar - Tanzania, katika Chuo cha Qur'an Tukufu cha Jamiat Al- Mustafa (s) kinachoongozwa na kusimamiwa na Rais wa Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-salaam - Tanzania, Hojjat al-Islam wal Muslimin, Dr.Ali Taqavi.
Your Comment