Rais Donald Trump alisema:
“Nilimwambia mmoja wa wawakilishi wa kampuni ya Marekani kuwa ninahitaji idadi kubwa ya ndege zisizo na rubani. Nchini Iran, wanatengeneza ndege nzuri sana zisizo na rubani, na gharama ya kutengeneza kila moja ni kati ya dola 35,000 hadi 40,000.
Baada ya wiki mbili, kampuni hiyo iliniletea ndege isiyo na rubani ambayo gharama yake ilikuwa dola milioni 41.*
Nikawaambia: Hili siyo nililokusudia. Nilikuwa nazungumzia ndege isiyo na rubani isiyozidi gharama ya dola 35,000 hadi 40,000...
Ndege hizi (za Iran) ni nzuri sana, za kasi, hatari na za kutisha.”
Your Comment