ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Juhudi zinaendelea kuiadhibu Israel katika michezo kutokana na vita yake dhidi sya Gaza

    Juhudi zinaendelea kuiadhibu Israel katika michezo kutokana na vita yake dhidi sya Gaza

    Wakati mbio kubwa za baiskeli nchini Hispania zilikumbwa na vurugu za waandamanaji waliopinga ushiriki wa timu ya Israel, mataifa kadhaa ya Ulaya yametishia kususia tukio maarufu la burudani endapo Israel itaruhusiwa kushiriki.

    2025-09-19 18:34
  • Hamas: Kuweka veto kwa Azimio la Gaza kunaonesha ushirikiano wa Marekani katika uhalifu wa Israel

    Hamas: Kuweka veto kwa Azimio la Gaza kunaonesha ushirikiano wa Marekani katika uhalifu wa Israel

    Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, siku ya Ijumaa ilitangaza kuwa kura ya turufu (veto) ya Marekani dhidi ya azimio kuhusu Gaza ni uthibitisho wa wazi na kamili wa ushirikiano wake katika uhalifu wa Israel dhidi ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza. Hamas imesema kuwa hatua hiyo inaonesha kuwa Marekani inasaidia moja kwa moja mashambulizi, mauaji na uharibifu unaofanywa na Israel dhidi ya raia wasio na hatia, na siyo tena mpatanishi wa haki katika mgogoro huo. Vilevile, harakati hiyo imeitaka jumuiya ya kimataifa kusimama imara dhidi ya upendeleo huu na kuchukua hatua za dharura kuwalinda Wapalestina na kukomesha uvamizi wa Israel.

    2025-09-19 18:24
  • Kuwaheshimu na kuwajali wazazi ni jukumu la muhimu sana na la msingi kwa kila mtu. Katika dini ya Kiislamu, kuwaheshimu wazazi kuna nafasi kubwa sana

    Kuwaheshimu na kuwajali wazazi ni jukumu la muhimu sana na la msingi kwa kila mtu. Katika dini ya Kiislamu, kuwaheshimu wazazi kuna nafasi kubwa sana

    2025-09-19 18:15
  • Jibu la Kabul kwa Trump: Uwepo wa Marekani nchini Afghanistan hauna uwezekano

    Jibu la Kabul kwa Trump: Uwepo wa Marekani nchini Afghanistan hauna uwezekano

    Serikali ya Taliban imejibu kauli za Donald Trump kuhusu kurejesha kambi ya Bagram kwa kusema kuwa uwepo wa kijeshi wa Marekani nchini Afghanistan ni jambo lisilowezekana kabisa.

    2025-09-19 17:57
  • UNIFIL: Israel iache mara moja uvamizi dhidi ya Lebanon

    UNIFIL: Israel iache mara moja uvamizi dhidi ya Lebanon

    UNIFIL imeitaka jeshi la Israel kusitisha mara moja mashambulizi ya anga dhidi ya Lebanon na kuondoka kabisa kutoka katika ardhi ya Lebanon.

    2025-09-19 17:50
  • Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao

    Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao

    Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.

    2025-09-19 17:30
  • Waislamu wawili kati ya watatu nchini Ufaransa ni waathirika wa ubaguzi wa rangi

    Waislamu wawili kati ya watatu nchini Ufaransa ni waathirika wa ubaguzi wa rangi

    Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa inaongezeka, na asilimia 66 ya Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa waathirika wa ubaguzi na chuki za kijinsia na kikabila katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

    2025-09-19 17:13
  • Upigaji kura wa leo katika Baraza la Usalama kuhusu kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Upigaji kura wa leo katika Baraza la Usalama kuhusu kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Uanzishaji wa ‘mfumo wa kichocheo’ (Snapback mechanism / Triger Machanism) na Ulaya umeiweka Baraza la Usalama katika hali nyeti; ambapo kupinga azimio jipya kunamaanisha kurejea kwa vikwazo vyote dhidi ya Iran.

    2025-09-19 13:37
  • Kuimarishwa kwa hatua za kiusalama katika mji mkuu wa Iraq kwa ajili ya kukabiliana na uhalifu

    Kuimarishwa kwa hatua za kiusalama katika mji mkuu wa Iraq kwa ajili ya kukabiliana na uhalifu

    Kamanda wa operesheni za Baghdad ametangaza kuanza kwa mpango mpya wa kukabiliana na wizi wa magari na mauaji katika mji mkuu wa Iraq.

    2025-09-19 13:27
  • Miaka 120 ya Mapambano ya Familia ya Khamenei | Kizazi cha Upinzani na Mapambano | “Ninajivunia Kwamba Huyu Mtu Mashuhuri ni Babu Yangu"

    Sehemu ya Kwanza:

    Miaka 120 ya Mapambano ya Familia ya Khamenei | Kizazi cha Upinzani na Mapambano | “Ninajivunia Kwamba Huyu Mtu Mashuhuri ni Babu Yangu"

    Msimamo wa kupinga dhuluma na mapambano umekuwa miongoni mwa sifa kuu za familia ya Khamenei tangu karne zilizopita hadi sasa. Ingawa hakuna historia iliyoandikwa rasmi kuhusu mapambano ya familia hii, kuna ushahidi wa kihistoria na vielelezo vya wazi vinavyoonyesha kuwepo kwa historia ya miaka 120 ya mapambano yao.

    2025-09-19 12:22
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom