Benjamin Netanyahu
-
Netanyahu Aomba Msaada wa Urusi Kutuliza Iran Kuhusu Hofu ya Mashambulizi
Inadaiwa kuwa Netanyahu alimwomba Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kufikisha ujumbe huo kwa viongozi wa Iran.
-
Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anatarajiwa katika kikao chake na Rais wa Marekani
Kuwasilisha chaguo mbalimbali za mashambulizi mapya yanayoweza kufanywa na Israel dhidi ya Iran, pamoja na kujadiliana kuhusu hali tofauti za kijeshi na athari zake kwa usalama wa kikanda.
-
Kashfa Yazuka Kuhusu Kujiingiza kwa Sara Netanyahu Katika Uteuzi wa Mkuu wa Mossad
Ingawa muungano wa utawala umepongeza uteuzi huo, ndani ya taasisi ya Mossad mwenyewe kuna mshangao mkubwa pamoja na maswali mengi mazito kuhusu uhalali na mchakato wa uteuzi huo.
-
“Barna”, mgombea madhubuti wa kuchukua nafasi ya Benjamin Netanyahu
Kwa mujibu wa madai ya tovuti moja ya Kizayuni, vyanzo vya kisiasa nchini Israel vinamtaja David Barna, mkuu wa Mossad, kama mmoja wa wagombea wakuu wa kumrithi Benjamin Netanyahu.
-
Iran yashuku ujumbe wa Netanyahu kuhusu kutoshambulia tena
"Vikosi vya ulinzi vya Iran vipo katika hali ya tahadhari ya juu kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa hila kutoka Israel, na hatuamini nia hizi".
-
Israel imefanya mashambulizi ya anga dhidi ya Sanaa (Mji Mkuu wa Yemen) na Mkoa wa Al-Jawf
Kwa mujibu wa wizara ya afya ya Yemen, mashambulizi ya Israeli yaliyoelekezwa Sanaa na Mkoa wa Al-Jawf yamesababisha watu wasiopungua 35 kuuawa na zaidi ya 130 kujeruhiwa.
-
Kuhalalisha Uhusiano na Israel ni Usaliti wa Wazi na Msaada wa Moja kwa Moja kwa Adui" – Ayatollah Isa Qassim
Ayatollah Qassim amegusia pia matamshi ya karibuni ya Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa Israel, pamoja na vita vya kinyama anavyoendeleza kwa msaada wa kimkakati kutoka Marekani.
-
Mwanamke Mmoja akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumuua Netanyahu
Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.
-
Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu
Uturuki imetangaza rasmi kuwa imefungia anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, na haitatoa ruhusa yoyote kwa safari yake kwenda Azerbaijan. Hatua hii imechukuliwa kutokana na sera za utawala wa Israel kuhusu Gaza, na Uturuki inaendelea kuunga mkono haki za watu wa Palestina.