Fikra
-
Barua za Nahjul Balagha - Barua ya 32 | Mbinu za Muawiya, Njia ya Vyombo vya Habari vya Kigeni vya Leo
Mbinu za vyombo vya habari katika kueneza batili na kuunda shubha ili kuwazamisha watu ndani ya fikra zisizo za Kimungu zimekuwa zikitumiwa na wapinzani wa njia ya haki katika vipindi vyote vya historia. Ingawa njia hizi hubadilika kulingana na zama, malengo yao hubaki yale yale. Kurejea mbinu hizi katika mojawapo ya barua za Imam Ali (a.s) kwa Muawiya na kulinganisha na mbinu za vyombo vya habari vya kigeni katika ulimwengu wa leo kunadhihirisha ukweli kwamba “Muawiya na wanaofanana naye” katika historia wamejitahidi kupotosha wengine ili kufikia malengo yao wenyewe-juhudi ambazo hatimaye hupelekea maangamizi yao pamoja na maangamizi ya wale wanaowafuata.
-
Nafasi Muhimu ya Nahjul-Balagha katika Elimu ya Bara Hindi:
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) na Kituo cha Fikra za Kiislamu Waandaa Webina ya Kimataifa Kuhusu Nafasi Muhimu ya Nahjul-Balagha katika Elimu
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kushirikiana na Kituo cha Fikra za Kiislamu wameandaa webina ya kimataifa iliyopewa jina: “Hadhi ya Nahj al-Balagha katika Bara la Hindi na Nafasi Yake katika Elimu.” Tukio hili limefanyika Jumamosi, tarehe 15 Novemba 2025.
-
Sisi na wamagharibi kwa Mtazamo wa Imam Khamenei – Mkutano Uliofanyika Nchini Kenya +Picha
Pourmarjan: “Ayatollah Khamenei, kama mwanafiqhi na mwanafikra mashuhuri katika ulimwengu wa Kiislamu, na ambaye ametumia zaidi ya miaka sitini katika nyanja za kielimu, kidini, kitamaduni, na kisiasa, ametoa mitazamo sahihi na ya kimkakati kuhusu Magharibi. Uelewa wa fikra hizi ni muhimu sana kwa kizazi cha leo cha vijana na wasomi.”
-
Katika kikao na waandaaji wa kongamano la Mirza Naeini,
Kiongozi wa Mapinduzi amesema: Ubunifu wa kielimu na fikra za kisiasa ndizo sifa mbili mashuhuri za Allamah Naeini
Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alipokutana na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Allamah Mirza Na'ini yamechapishwa leo asubuhi katika ukumbi wa mkutano huo mjini Qom.
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania Kimeandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu Ustaarabu wa Magharibi na Mikakati yake ya Kikoloni
Ustaarabu wa Magharibi na misingi ya kuuelewa ipasavyo.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
Utamaduni wa Kisasa wa Mauaji ya Kimbari ya Mawazo na Imani
"Mashambulizi ya Kitamaduni hayako tena katika kiwango cha tahadhari au nadharia; leo hii yamejikita katika kona za fikra za kijana wa Kiiran na kwa utulivu, lakini kwa mfululizo, na yanashambulia imani, utambulisho na mtindo wa maisha ya Kiislamu."