Jiji la Tanga
-
Maulid ya Kitaifa 2025 Yang'ara Tanga | Rais wa Jamiat al-Mustafa (s) - Tanzania Sh.Dr. Ali Taqavi Ajumuika na Umma Kuadhimisha Maulid ya Mtume (saww)
Sherehe hiyo ya Mazazi ya Mtume wa Ummah (saww), imeonesha mshikamano, mapenzi ya dhati, na hamasa kubwa ya waislamu katika kuenzi maisha na mafundisho ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Idadi kubwa ya washiriki katika hafla hii imekuwa ishara tosha ya mafanikio makubwa ya tukio hilo takatifu, na ushahidi wa mapenzi ya kweli kwa Mtume wa Mwisho
-
Maelfu waandamana Beirut kuunga mkono Hizbullah dhidi ya shinikizo la kuondolewa silaha
Wakisambaza ujumbe wao kwa sauti na maandamano, wananchi hao wamesisitiza kuwa Hizbullah si tu harakati ya kijeshi, bali pia ni nguzo muhimu ya taifa katika ulinzi wa mipaka na heshima ya Lebanon. Kwao, wazo la kuondoa silaha za harakati hiyo ni sawa na kuiweka Lebanon mikononi mwa maadui wake.
-
Shehena ya Mirungi kutoka Kenya Yanaswa Baharini na Polisi Tanga Katika Msako Maalum
Jeshi linasisitiza ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya dola katika kukomesha biashara na usafirishaji wa dawa za kulevya nchini.
-
Mahojiano Maalum ya Firdaus TV na Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum - Mwenyekiti JMAT-TAIFA Yaliyofanyika Katika Uwanja wa Michezo wa Mkwakwani, Tanga
Ni katika Kongamano la Qur'an Tukufu lililofanyiks Jijini Tanga. Tukio hilo liliimarisha misingi ya Amani, Mshikamano, Maridhiano, na Ushirikiano kati ya Watanzania, likiwa ni Jukwaa la kuendeleza Mafundisho ya Qur’an Tukufu yanayohimiza Utulivu na Maelewano ya Kijamii.
-
Wanafunzi wa Hawzat al-Zahraa (s.a) Waanza Mtihani wa Robo ya Pili - 2025
Mtihani huu ni sehemu ya ratiba ya kitaasisi ya kila mwaka inayojumuisha mitihani minne ya robo. Mitihani inatarajiwa kukamilika Alhamisi ya wiki hii.
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum awaalima watu wote katika Maonyesho ya Qur'an | Dar-es-salaam na Tanga
Qur'an Tukufu ni: Shifa (ponyo) kwa magonjwa ya kiroho na ya moyo kama vile wasiwasi, huzuni, mashaka, ujinga, na upotevu. Na ni Mwongozo wa maisha kwa binadamu wote—kwa mambo ya kidini na ya kila siku.
-
Bilal Muslim Mission - Kanda ya Pangani - Hafla ya Mazazi ya Imam Ridha (as) na Maonyesho ya Wanafunzi wa Madrasa
Hafla hii imehudhuriwa na Madrasat kutoka Bilal Muslim – Kanda ya Pangani pamoja na baadhi ya Madrasa kutoka kwa ndugu zetu wa Kisuni. Hili ni jambo la faraja kubwa, linaloashiria mshikamano wa kijamii na wa kidini katika maeneo yetu.
-
Mkutano na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Batlida Burian, pamoja na baadhi ya Masheikh wa Kishia na Kisunni.
"Tanga ni mfano wa kuigwa kwa utulivu wa kidini. Tuendelee kudumisha hali hii na kushirikiana kwa ajili ya maendeleo ya jamii yetu."
-
Samahat Sheikh Kadhim Abbas, Mudir wa Hawza za Bilal Muslim Tanga - Tanzania, amefanya ziara muhimu katika Hawza ya Imam Ali (a.s)
Sheikh Kadhim ametoa akitoa nasaha kwa nasaha kwa Wanafunzi amesema: "Wanafunzi wa Kidini wanapaswa kusoma kwa bidii na kuzingatia masomo yao ili kuhakikisha wanayafikia malengo matukufu ya kuchuma Elimu na Maarifa ya Dini Tukufu ya Kiislamu".