Kubwa
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum: Swaumu ya Ramadhan si adhabu, bali ni Tiba ya Kiroho na Kimwili
Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum anafafanua kuwa swaumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhan si adhabu, bali ni ibada iliyojaa huruma ya Mwenyezi Mungu. Kufunga kunalenga kutuponya kiroho na kimwili, kuimarisha nafsi, na kutufundisha subira, kama ambavyo Daktari (Tabibu) humlazimisha mgonjwa kunywa dawa chungu, lakini sio kwa lengo la kumuadhibu, bali ili apone. Swaumu ni fursa ya kujenga uhusiano thabiti baina ya Mja na Mola wake (swt) na kupata manufaa mapana katika maisha yetu.
-
Meja Jenerali Mousavi: Vita dhidi ya Iran itakuwa somo la kuumiza kwa Trump
Onyo la kijeshi kutoka kwa Meja Jenerali Mousavi wa Iran kwa Rais wa Marekani, akisisitiza kuwa kuingilia kati kwa nguvu kutaonyesha matokeo yanayomfundisha Trump somo kali, na kutoendelea na vitisho vya kimataifa.
-
Leo Katika Historia:Iran Ilishambulia Kambi ya Ain al-Asad ya Marekani kwa Makombora ya Balistiki Ikiwa Kisasi cha Kuuawa kwa Jenerali Qasim Soleimani
Ilikuwa Januari 8, 2020 pindi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilipofanya Shambulizi kubwa la Kihistoria kwa kuitwanga Kambi ya Kijeshi ya Marekani iliyoitwa "Ain al-Asad" ikiwa ni sehemu ya kulipiza kiasi baada ya Kuuawa kwa Shahidi Qassem Soleimani
-
Si jambo lisilowezekana Israel kuishambulia Saudia; Riyadh imo ndani ya mradi wa ‘Israel Kubwa
Kutoa matrilioni ya dola kwa Trump na kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel hakukuwaletea usalama wowote Saudia na washirika wake.