Kuhusu
-
Safari ya kuelekea Ikulu ya White House: Kuanzia Mikataba ya Kijeshi hadi Mchakato wa Kuweka Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni
Kabla ya safari ya Mrithi wa Kiti cha Enzi cha Ufalme wa Saudi, mazungumzo kati ya Saudia na Marekani, ambayo yanahusisha mkataba wa ulinzi na uuzaji wa ndege za kivita za F-35, yamesababisha wasiwasi kuhusu kupuuzia haki za Wapalestina. Wataalamu wengi wanaona safari hii kama maandalizi ya kuanza mchakato wa kuweka uhusiano wa kawaida kati ya Saudia na utawala wa Kizayuni.
-
Mkutano wa Tatu wa Kitaaluma kuhusu Maombolezo na Desturi za Kidini; Kusisitiza nafasi ya kihadhari ya Hay’a katika jamii na familia
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Babakhani pia alisisitiza nafasi ya wanawake katika hay’a na kusema: “Tangu kuundwa kwa hay’a, wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika uongozi wa kitamaduni na kidini - kuanzia Bibi Fatima az-Zahra (a.s) na Bibi Zaynab (a.s) hadi leo - na wametoa mchango mkubwa katika kuhifadhi na kueneza utamaduni wa hay’a. Uwepo wao umeleta athari kubwa katika kufundisha mafundisho ya dini na kuonyesha kwa jamii fadhila za Ahlul-Bayt (a.s).”
-
Taarifa za Hivi Punde:
Kuhusu Kuachiwa kwa Wafungwa Maarufu wa Kipalestina / Hatma ya Mwili wa Shahidi Yahya Sinwar Katika Mkataba wa Kusitisha Mapigano
Sambamba na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Harakati ya Mapambano ya Kipalestina (Muqawama) na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza, vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti tetesi na tafsiri tofauti kuhusu masharti ya makubaliano hayo na namna yatakavyotekelezwa.
-
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq alisema:
"Hatutaruhusu mtu yeyote kuzungumza kuhusu kuvunjwa kwa Hashd al-Shaabi"
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq alitangaza:Hatutaruhusu Marekani au wengine kuzungumza nasi kuhusu kuvunjwa kwa Hashd al-Shaabi.