Madhara
-
Mtaalamu wa masuala ya Lebanon katika Mahojiano na ABNA:
Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi / Zaidi ya Makamanda 400 wa Hizbullah wameuawa na Israel
Dkt. Ajarloo, mtaalamu wa masuala ya Lebanon, alisema: Inaonekana kuwa uwezo wa Hizbullah, licha ya kupata madhara makubwa, katika baadhi ya nyanja unaendelea kuimarika. Kwa sababu hiyo, hatua na tathmini za Israel pamoja na uwezekano wa kutokea kwa vita vinaashiria kwamba Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi.
-
Kufariki au Kuuawa Shahidi: Ripoti ya Mdahalo / Uhakiki wa Kitaaluma wa Masuala ya Itikadi kwa Kuzuia Uvunjaji na Upotoshaji
Mdahalo kuhusu riwaya za shahada ya Bibi Fatima (a.s) ulifanyika kati ya Hamed Kashani na Abdulrahim Soleimani; Soleimani aliona baadhi ya riwaya hazina uthibitisho, lakini Kashani, akirejelea vyanzo vya kuaminika, alithibitisha kuwa shambulio na madhara yaliyotokea kwa Bibi Fatima (a.s) yalikuwa halisi, na akatoa onyo kuwa kukanusha matukio hayo kunaweza kuwa fursa kwa mitazamo ya kupinga Shi’a kutumika kwa uharibifu.
-
Makubaliano Kuhusu Mwisho wa Vita Hayamaanishi Mwisho wa Hali Mbaya ya Kibinadamu Gaza +Picha
Hata kama Israel na Hamas watafanya makubaliano kuhusu mapumziko ya mapigano au kumalizika rasmi vita baina yao, hali ya kibinadamu Gaza bado itaendelea kuwa mbaya.
-
Hati ya Baraza la Waislamu Wa Shiia wa Mkoa wa Herat Kuhusu Uchokozi wa Marekani Kuhusu Kituo cha Anga la Bagram, Afghanistan
"Msimtegemee walio dhabiti katika dhulma; mtakapowaegemea, moto utakushika. Hakuna wa wenu mwingine wa kumtegemea badala ya Mwenyezi Mungu; kisha hamtaungwa mkono".
-
Kwa nini Ndoa ya Mitala isiyo Rasmi ("Ndoa Nyeupe" au White Marriage) ni tishio kwa Familia na Jamii?
Makala hii inachambua kwa mtazamo wa kina sababu za upinzani wa Uislamu dhidi ya ndoa nyeupe na inafafanua athari na madhara ya kijamii yanayosababishwa na aina hii ya ndoa.
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kushirikiana na Pakistan kukomesha ugaidi
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.
-
Baqaei: Kushambulia hospitali ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa kivita
Akilaani shambulio la kombora la utawala haramu wa Kizayuni katika Hospitali na Kituo cha Tiba cha Farabi huko Kermanshah, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ameandika: "Mashambulizi dhidi ya hospitali pamoja na mashambulizi katika maeneo ya makazi ya watu ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na jinai ya kivita."