Magaidi
-
Kuzuiwa kwa njama ya ISIS ya kulenga Mazuwwari wa Arubaini / Magaidi 22 wakamatwa
Gavana wa Karbala ametangaza kufanikiwa kuzuia njama ya kigaidi iliyolenga kushambulia mahujaji wa Arubaini wa Imam Hussein (a.s).
-
Shinikizo la Marekani kwa Umoja wa Mataifa Kuhusu Kuondoa Jina la Abu Muhammad al-Julani Kwenye Orodha ya Vikwazo vya Baraza la Usalama
Marekani imeanza kuiwekea shinikizo Umoja wa Mataifa ili kuondoa vikwazo vilivyowekwa na Baraza la Usalama dhidi ya Ahmad al-Shara, anayejulikana kwa jina la Abu Muhammad al-Julani, mkuu wa serikali ya mpito ya Syria na kiongozi wa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS).
-
Kusambaratishwa kwa Vitengo 3 vya Kigaidi vya ISIS Nchini Libya
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.
-
Taifa Haram la Mazayuni lashambulia vikundi vya Kigaidi vya Al-Julani Katika maeneo ya Mji wa Suwayda, Syria
Vikosi vya Genge la Kigaidi la HTS, vinavyoongozwa na Al-Julani, leo asubuhi viliingia katika Mji wa Suwayda, vikiwa na maagizo yaliyoitwa kuwa Maagizo ya "Kulinda Raia".
-
Mauaji ya raia 2 wa Lebanon kupitia magaidi wa Al-Julani
Magaidi wa Al-Julani wamefanya jinai nyingine katika maeneo ya mpakani mwa Lebanon na Syria.
-
Radiamali ya Seneta RajA Nasser kwa mauaji ya Mwanazuoni wa Pakistan
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amelaani mauaji ya Mufti Munir Shakir, Mwanazuoni wa Kisunni wa Pakistan, na kuyataja kuwa ni hasara isiyoweza kufidiwa.
-
Uwepo wa magaidi kutoka nchi 20 katika Serikali ya Syria | Serikali ya mpito au Mradi wa Kikoloni!
Vyanzo vyenye maarifa na utambuzi, vimetoa taarifa juu ya kuundwa kwa muundo mpya wa usalama katika utawala wa Kigaidi wa al-Jolani.