Magaidi
-
Mwanamke Anayehusishwa na Daesh Akamatwa New York kwa Tuhuma za Kupanga Shambulio
Mamlaka za shirikisho nchini Marekani zimemkamata mwanamke mwenye umri wa miaka 35 mjini Albany, New York, kwa tuhuma za kujaribu kutoa msaada wa kimaada kwa Daesh (ISIS) na kupanga shambulio dhidi ya jengo la Bunge la Jimbo la New York.
-
Qaani: Utawala wa Kizayuni unasumbuliwa na “saratani ya kijamii”, kuanguka kutoka ndani ni hatima yake
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Kamanda wa Kikosi cha Quds, Brigedia Jenerali Ismail Qaani, amesema kuwa utawala wa Israel unasumbuliwa na kile alichokiita “saratani ya kijamii”, akisisitiza kuwa hatima yake ni kuanguka kutoka ndani.
-
Iraq Yaanzisha Operesheni Kubwa ya Kupambana na Magaidi wa Daesh huko Ninawa
Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Iraq kimeanzisha operesheni kubwa ya kiusalama katika mkoa wa Ninawa kwa lengo la kuwasaka mabaki ya kundi la kigaidi la Daesh, kubaini seli zilizojificha na kuimarisha usalama na utulivu katika eneo hilo.
-
Hashd al-Shaabi yaharibu Handaki na Maficho ya ISIS Mashariki mwa Salahuddin
Hashd Al-Shaabi ya Iraq imefanikiwa kugundua na kuharibu handaki na maficho ya ISIS Mashariki mwa Salahuddin kwa kushirikiana na jeshi la Iraq, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuzuia kurejea kwa makundi ya kigaidi katika eneo hilo.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”