Magaidi
-
Hashd al-Shaabi yaharibu Handaki na Maficho ya ISIS Mashariki mwa Salahuddin
Hashd Al-Shaabi ya Iraq imefanikiwa kugundua na kuharibu handaki na maficho ya ISIS Mashariki mwa Salahuddin kwa kushirikiana na jeshi la Iraq, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuzuia kurejea kwa makundi ya kigaidi katika eneo hilo.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”
-
Kuzuiwa kwa njama ya ISIS ya kulenga Mazuwwari wa Arubaini / Magaidi 22 wakamatwa
Gavana wa Karbala ametangaza kufanikiwa kuzuia njama ya kigaidi iliyolenga kushambulia mahujaji wa Arubaini wa Imam Hussein (a.s).
-
Shinikizo la Marekani kwa Umoja wa Mataifa Kuhusu Kuondoa Jina la Abu Muhammad al-Julani Kwenye Orodha ya Vikwazo vya Baraza la Usalama
Marekani imeanza kuiwekea shinikizo Umoja wa Mataifa ili kuondoa vikwazo vilivyowekwa na Baraza la Usalama dhidi ya Ahmad al-Shara, anayejulikana kwa jina la Abu Muhammad al-Julani, mkuu wa serikali ya mpito ya Syria na kiongozi wa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS).
-
Kusambaratishwa kwa Vitengo 3 vya Kigaidi vya ISIS Nchini Libya
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.
-
Taifa Haram la Mazayuni lashambulia vikundi vya Kigaidi vya Al-Julani Katika maeneo ya Mji wa Suwayda, Syria
Vikosi vya Genge la Kigaidi la HTS, vinavyoongozwa na Al-Julani, leo asubuhi viliingia katika Mji wa Suwayda, vikiwa na maagizo yaliyoitwa kuwa Maagizo ya "Kulinda Raia".