Mashariki ya Kati
-
Onyo la Kataib Hezbollah Iraq kwa Marekani kuhusu Kuanzisha Vita katika Eneo
Kataib Hezbollah imeonya kuwa iwapo Marekani itaanzisha vita katika eneo hilo, itakabiliwa na hasara kubwa na vita vya muda mrefu, huku pia ikiutahadharisha utawala wa Kurdistan kuepuka kushirikiana na majeshi ya kigeni.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi Aongoza Ujumbe wa Mazungumzo na Marekani Muscat
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameongozana na ujumbe wake wa kidiplomasia kuelekea mjini Muscat, Oman, kwa ajili ya mazungumzo na Marekani. Mazungumzo hayo yanatazamwa kuwa na umuhimu mkubwa katika kujadili masuala ya nyuklia, vikwazo vya kiuchumi na usalama wa kikanda, kwa lengo la kufungua ukurasa mpya wa maelewano ya kisiasa.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Akutana na Naibu Mkuu wa Baraza Kuu la Kishia Lebanon Beirut
Wakati wa ziara yake rasmi mjini Beirut, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyyed Abbas Araghchi, alikutana na Sheikh Ali Al-Khatib, Naibu Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon. Mazungumzo yao yalijikita katika maendeleo ya kikanda, umuhimu wa umoja wa Kiislamu, na kuimarisha ushirikiano wa kidini na kisiasa kwa ajili ya uthabiti na mshikamano wa Lebanon.
-
Iran: Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi Lakamilisha Majaribio ya Makombora Mapya ya Masafa Marefu
"Uwezo wetu wa kijeshi unalenga kuzuia uchokozi na kulinda mamlaka, ardhi na maslahi ya taifa la Iran"
-
Turki Al-Faisal: Tishio Kuu la Mashariki ya Kati Sio Iran, Bali ni Israel
Shambulizi Dhidi ya Ujumbe wa Hamas Qatar ni Onyo kwa Nchi za Ghuba | Katika kauli yake nzito, Turki Al-Faisal pia amebainisha kuwa shambulizi la Israel dhidi ya ujumbe wa Hamas nchini Qatar lilikuwa ujumbe wa vitisho kwa nchi za Ghuba, akisema hatua hiyo ilikuwa onyo la wazi kuwa mataifa ya Ghuba yako katika hatari na yanapaswa kuchukua tahadhari za pamoja za kiulinzi.
-
Kifo cha mtu aliyebuni / aliyeratibu vita - Dick Cheney na urithi mbaya na mchungu wa Iraq
Kwa kifo cha Dick Cheney, makamu wa rais wa zamani wa Marekani, tena uso mmoja unakumbukwa ambaye jina lake limeunganishwa na Vita vya Iraq, mateso, na mabadiliko ya sura ya siasa za Marekani katika Mashariki ya Kati.
-
Trump Aondoka Mashariki ya Kati Bila Kujibu Maswali Muhimu
Rais wa Marekani ameondoka katika eneo hilo bila kutoa majibu kwa maswali yaliyoibuliwa kabla ya kuwasili kwake. Hali hii imeacha ukosefu wa uwazi kuhusu nia na mikakati ya Marekani katika eneo, huku wachambuzi wakibainisha kuwa maswali muhimu kuhusu sera za kisiasa na usalama hayajapatiwa majibu.
-
Marekani Yazindua Droni ya LUCAS ikiiga moja kwa moja Droni ya Shahed-136 ya Iran
Fikra hii ya kutengeneza Droni ya LUCAS imetokana na mshangao mkubwa ilioupata Marekani kutoka kwenye Droni Shahid - 136 ya Iran na uwezo wake katika Uwanja wa Kivita, kiasi kwamba Marekani ikaona Iran imepiga hatua kubwa katika masuala ya teknolojia ya Kuzalisha zana za Kivita na za gharama nafuu. Hilo liliifanya Marekani kuwaza kukopi Droni hiyo ya Iran hatimaye kuja na Droni yao waliyoiita LUCAS.
-
Picha iliyochapishwa ya kuuawa shahidi kwa watoto wengine wawili katika milipuko ya leo ya Wazayuni
Utawala haram wa Kizayuni, ni utawala wa kinyama na wenye damu mikononi dhidi ya watoto wadogo wa Ghaza wasiokuwa na hatia. Utawala huu ni kansa katika eneo zima la Mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.
-
Imam wa Msikiti wa Imam Sadiq (as), Mauritania: "Israeli ni uvimbe wa saratani ambao lazima uondolewe kabisa | Umoja wa Kiislamu uko juu ya Madhehebu"
Kauli hii ya Imam huyu inasisitiza umuhimu wa mshikamano wa Waislamu kote duniani, kwani umoja wa kweli unapaswa kuvuka mipaka ya tofauti za madhehebu na kuwa na lengo moja la kutetea haki na kuondoa dhuluma na udhalimu.
-
Waziri wa Ulinzi kwa Mwenzake wa Russia: Uamuzi wa Iran ni Kuadhibu Mchokozi kwa Nguvu Zote
"Kilicho hakika ni kwamba hatupigani na Israel pekee, bali tunapigana na Amerika na baadhi ya nchi pia (vibaraka) zinazoiunga mkono Israel."