Mashariki ya Kati
-
Kifo cha mtu aliyebuni / aliyeratibu vita - Dick Cheney na urithi mbaya na mchungu wa Iraq
Kwa kifo cha Dick Cheney, makamu wa rais wa zamani wa Marekani, tena uso mmoja unakumbukwa ambaye jina lake limeunganishwa na Vita vya Iraq, mateso, na mabadiliko ya sura ya siasa za Marekani katika Mashariki ya Kati.
-
Trump Aondoka Mashariki ya Kati Bila Kujibu Maswali Muhimu
Rais wa Marekani ameondoka katika eneo hilo bila kutoa majibu kwa maswali yaliyoibuliwa kabla ya kuwasili kwake. Hali hii imeacha ukosefu wa uwazi kuhusu nia na mikakati ya Marekani katika eneo, huku wachambuzi wakibainisha kuwa maswali muhimu kuhusu sera za kisiasa na usalama hayajapatiwa majibu.
-
Marekani Yazindua Droni ya LUCAS ikiiga moja kwa moja Droni ya Shahed-136 ya Iran
Fikra hii ya kutengeneza Droni ya LUCAS imetokana na mshangao mkubwa ilioupata Marekani kutoka kwenye Droni Shahid - 136 ya Iran na uwezo wake katika Uwanja wa Kivita, kiasi kwamba Marekani ikaona Iran imepiga hatua kubwa katika masuala ya teknolojia ya Kuzalisha zana za Kivita na za gharama nafuu. Hilo liliifanya Marekani kuwaza kukopi Droni hiyo ya Iran hatimaye kuja na Droni yao waliyoiita LUCAS.
-
Picha iliyochapishwa ya kuuawa shahidi kwa watoto wengine wawili katika milipuko ya leo ya Wazayuni
Utawala haram wa Kizayuni, ni utawala wa kinyama na wenye damu mikononi dhidi ya watoto wadogo wa Ghaza wasiokuwa na hatia. Utawala huu ni kansa katika eneo zima la Mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.
-
Imam wa Msikiti wa Imam Sadiq (as), Mauritania: "Israeli ni uvimbe wa saratani ambao lazima uondolewe kabisa | Umoja wa Kiislamu uko juu ya Madhehebu"
Kauli hii ya Imam huyu inasisitiza umuhimu wa mshikamano wa Waislamu kote duniani, kwani umoja wa kweli unapaswa kuvuka mipaka ya tofauti za madhehebu na kuwa na lengo moja la kutetea haki na kuondoa dhuluma na udhalimu.
-
Waziri wa Ulinzi kwa Mwenzake wa Russia: Uamuzi wa Iran ni Kuadhibu Mchokozi kwa Nguvu Zote
"Kilicho hakika ni kwamba hatupigani na Israel pekee, bali tunapigana na Amerika na baadhi ya nchi pia (vibaraka) zinazoiunga mkono Israel."
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Uhusiano kati ya Iran na Saudi Arabia utakuwa wa manufaa kwa nchi zote mbili / Kupanua uhusiano kati ya nchi hizi 2 kuna maadui
Katika kikao hicho Ayatollah Khamenei akiashiria baadhi ya maendeleo ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuisaidia Saudi Arabia katika maeneo hayo.