Mashuhuri
-
Kwa Mujibu wa ABNA: Iran Yaadhimisha Kumbukumbu ya Shahidi Dkt. Mustafa Chamran
Tarehe 21 Juni ni kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Dkt. Mustafa Chamran, mwanasiasa, mwanasayansi na kamanda mashuhuri wa kijeshi wa Iran aliyetoa maisha yake wakati wa vita vya Iraq dhidi ya Iran (1980–1988).
-
Jenerali Qassim Soleimani Aliwahi Kutoa Onyo Kuhusu “Ujasusi wa Luna Al-Shibl”
Jarida la Saudia Al-Majalla limedai kwamba Shahidi Qasem Soleimani aliwahi kuwaonya maafisa wa Syria kuhusu Luna Al-Shibl kuwa jasusi.
-
Katika kikao na waandaaji wa kongamano la Mirza Naeini,
Kiongozi wa Mapinduzi amesema: Ubunifu wa kielimu na fikra za kisiasa ndizo sifa mbili mashuhuri za Allamah Naeini
Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alipokutana na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Allamah Mirza Na'ini yamechapishwa leo asubuhi katika ukumbi wa mkutano huo mjini Qom.
-
Ayatullah Isa Qassim: Watu wa Bahrain Wanataka Uhuru wa Watoto Wao Bila Fedheha Wala Udhalili
Mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain amesisitiza kuwa taifa huru na lenye heshima la Bahrain linataka kuachiliwa kwa watoto wao wapenda uhuru na kurejeshewa uhuru wao ulioporwa.
-
Sehemu ya Kwanza:
Miaka 120 ya Mapambano ya Familia ya Khamenei | Kizazi cha Upinzani na Mapambano | “Ninajivunia Kwamba Huyu Mtu Mashuhuri ni Babu Yangu"
Msimamo wa kupinga dhuluma na mapambano umekuwa miongoni mwa sifa kuu za familia ya Khamenei tangu karne zilizopita hadi sasa. Ingawa hakuna historia iliyoandikwa rasmi kuhusu mapambano ya familia hii, kuna ushahidi wa kihistoria na vielelezo vya wazi vinavyoonyesha kuwepo kwa historia ya miaka 120 ya mapambano yao.
-
Ayatollah Ashrafi Shahroudi alipokutana na viongozi wa Shirika la Habari la “Abna” alisema:
"Kuonyesha huruma na kujali kwa ajili ya mafundisho ya Ahlul Bayt (a.s) huleta maendeleo katika kazi mbalimbali"
"Kwa juhudi za Imam na Mapinduzi, jina la Ahlul Bayt (a.s) limejulikana na kutambulika kote duniani. Sababu kuu ya uadui wote wa naadui dhidi ya IRAN, unatokana na IRAN na Jamhuri ya Kiislamu kuzingatia na kufuatilia zaidi mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s). Kuanzia vita vya miaka minane hadi fitina ya Daesh na hata uvamizi huu wa utawala wa Kizayuni ni kwa sababu ya imani ya dhati ya Taifa la Iran na uvumilivu wa Mashia."
-
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Husseini Bushehri Kufuatia Kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian
Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian.