Mashuhuri
-
Sehemu ya Kwanza:
Miaka 120 ya Mapambano ya Familia ya Khamenei | Kizazi cha Upinzani na Mapambano | “Ninajivunia Kwamba Huyu Mtu Mashuhuri ni Babu Yangu"
Msimamo wa kupinga dhuluma na mapambano umekuwa miongoni mwa sifa kuu za familia ya Khamenei tangu karne zilizopita hadi sasa. Ingawa hakuna historia iliyoandikwa rasmi kuhusu mapambano ya familia hii, kuna ushahidi wa kihistoria na vielelezo vya wazi vinavyoonyesha kuwepo kwa historia ya miaka 120 ya mapambano yao.
-
Ayatollah Ashrafi Shahroudi alipokutana na viongozi wa Shirika la Habari la “Abna” alisema:
"Kuonyesha huruma na kujali kwa ajili ya mafundisho ya Ahlul Bayt (a.s) huleta maendeleo katika kazi mbalimbali"
"Kwa juhudi za Imam na Mapinduzi, jina la Ahlul Bayt (a.s) limejulikana na kutambulika kote duniani. Sababu kuu ya uadui wote wa naadui dhidi ya IRAN, unatokana na IRAN na Jamhuri ya Kiislamu kuzingatia na kufuatilia zaidi mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s). Kuanzia vita vya miaka minane hadi fitina ya Daesh na hata uvamizi huu wa utawala wa Kizayuni ni kwa sababu ya imani ya dhati ya Taifa la Iran na uvumilivu wa Mashia."
-
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Husseini Bushehri Kufuatia Kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian
Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian.
-
Maduro: Ninalaani vikali shambulio la kuchukiza na la aibu la Marekani dhidi ya Iran
Ninatangaza wazi na bayana mshikamano wangu kamili kwa watu imara na mashuhuri wa Iran, serikali yake, na watu wote ulimwenguni wanaopigania uhuru na amani.