Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Rais wa Venezuela Nicolas Maduro: Shambulio hili lilikuwa kitendo cha jinai ambacho kilikiuka sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa, na hata kupuuza sheria za ndani za Marekani.
Ninatangaza wazi na bayana mshikamano wangu kamili kwa watu imara na mashuhuri wa Iran, serikali yake, na watu wote ulimwenguni wanaopigania uhuru na amani.
Your Comment