amani
-
Pakistan: Marekani na Iran Ziko Karibu Kufikia Makubaliano ya Amani — Bloomberg
Pakistan imesema Marekani na Iran ziko karibu kufikia makubaliano mapya kuhusu amani, huku Islamabad ikiendelea na juhudi za upatanishi kati ya Washington na Tehran tangu kuanza kwa mzozo.
-
Pakistan: Ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani Tehran Kulenga Kuimarisha Amani na Usalama wa Kikanda
Pakistan imesema ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Mohsin Naqvi, nchini Iran inalenga kuendeleza mashauriano na Tehran kuhusu kuimarisha uhusiano wa pande mbili, ushirikiano wa kiusalama na juhudi za kuimarisha amani na utulivu katika eneo.
-
Iraq Yaanzisha Operesheni Kubwa ya Kupambana na Magaidi wa Daesh huko Ninawa
Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Iraq kimeanzisha operesheni kubwa ya kiusalama katika mkoa wa Ninawa kwa lengo la kuwasaka mabaki ya kundi la kigaidi la Daesh, kubaini seli zilizojificha na kuimarisha usalama na utulivu katika eneo hilo.
-
Tone kutoka Nahj al-Balagha (47): Mcha Mungu Hatoki Katika Njia ya Haki
"Nafsi yake iko katika taabu kutokana na yeye mwenyewe, na watu wako katika amani kutokana naye." «نَفْسُهُ مِنْهُ فِی عَنَاءٍ» Nafsi yake iko katika uchungu na taabu kwa sababu ya kujidhibiti kwake mwenyewe. «وَ النَّاسُ مِنْهُ فِی رَاحَةٍ» Na watu wako katika raha na utulivu kutokana naye. «أَتْعَبَ نَفْسَهُ لِآخِرَتِهِ» Ameitia nafsi yake katika juhudi na shida kwa ajili ya Akhera yake. «وَ أَرَاحَ النَّاسَ مِنْ نَفْسِهِ» Lakini amewaweka wengine katika amani kutokana na nafsi yake, kiasi kwamba hawapati madhara wala usumbufu wowote kutoka kwake.
-
Ismail Baghaei:
Vitisho na Mashambulizi ya Marekani Dhidi ya Vituo vya Nyuklia vya Amani vya Iran ni Ushahidi wa Uadui wa Kina Dhidi ya Sayansi na Maendeleo ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghaei, amesema kuwa mashambulizi na vitisho vinavyorudiwa vya Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya amani vya Iran vinaonyesha uadui wa kina wa Marekani dhidi ya sayansi, maarifa na maendeleo ya Iran.
-
Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama Apokelewa Katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA
Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama amepokelewa katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA na Mwenyekiti wake Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum, ambapo wamejadili umuhimu wa ushirikiano katika kuimarisha amani, maridhiano na mshikamano wa kitaifa.
-
Ayatollah Khatami: Trump na Netanyahu Hawatakuwa na Usingizi wa Amani
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu ya Qom amesema kuwa ibada za mazishi ya Kiongozi aliyefariki akiwa shahidi katika maeneo mbalimbali ya nchi zimegeuka kuwa jukwaa la umoja, mshikamano na kuhuisha ahadi ya utii kwa Mapinduzi ya Kiislamu. Amesisitiza kwamba: “Trump na Netanyahu hawatakuwa na usingizi wa amani.”
-
Qalibaf: Amani ya kweli nchini Lebanon haiwezi kupatikana bila mchango wa Iran
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa amani ya kudumu nchini Lebanon inaweza kupatikana kupitia nafasi ya Iran, huku akisisitiza kuendelea kuunga mkono washirika wa Jamhuri ya Kiislamu katika Muqawama.
-
Marekani yafichua rasimu ya makubaliano ya amani kati ya Israel na Lebanon kwa upatanishi wa Washington
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka wazi maandishi ya makubaliano ya awali ya amani kati ya Israel na Lebanon yaliyofikiwa kupitia upatanishi wa Marekani mjini Washington. Makubaliano hayo yanalenga kumaliza uhasama wa muda mrefu, kuimarisha usalama wa mipaka, na kuweka utaratibu wa hatua kwa hatua wa kuimarisha mamlaka ya dola nchini Lebanon huku vikosi vya Israel vikijipanga upya kwa awamu.
-
Rais wa Falme za Kiarabu Apongeza Makubaliano ya Marekani na Iran na Kusisitiza Amani ya Kudumu Mashariki ya Kati
UAE yaunga mkono makubaliano ya Marekani na Iran, ikisisitiza amani ya Mashariki ya Kati ijengwe juu ya heshima ya mamlaka ya mataifa na sheria za kimataifa.
-
Makubaliano ya Iran na Marekani Yazua Mabadiliko Mapya ya Kisiasa Mashariki ya Kati
Makubaliano ya amani kati ya Iran na Marekani yameibua mabadiliko makubwa ya kisiasa Mashariki ya Kati, huku yakionekana kuwa ushindi wa diplomasia lakini yakizua mvutano mpya kuhusu Lebanon, Israel na mustakabali wa uhusiano wa Washington na Tel Aviv.
-
Netanyahu Awataka Raia wa Lebanon Kuungana na Israel Dhidi ya Hezbollah
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa wito kwa raia wa Lebanon kujitenga na Hezbollah, akidai kuwa kundi hilo limeishikilia nchi hiyo “mateka” na kusisitiza kuwa Israel haina uhasama na wananchi wa Lebanon.
-
Sheikh Pro.Alhad Mussa Salum: Serikali Hupambana na Kuchukua Hatua dhidi ya Wanaotishia Maslahi Yake, Sio kwa Msingi wa Dini
Sheikh Prof.Alhad Mussa Salum: "Nchi ya Tanzania ni nchi ya Amani na sisi sote ni Watanzania, tunaishi kwa Upendo na Amani na watu wote. Uislamu ni Amani na unatufundisha kuishi kwa wema na watu wote."
-
Putin: Iran Haina Nia ya Silaha za Nyuklia, Aunga Mkono Kusitishwa kwa Hatua za Kijeshi
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa Iran haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia na ina haki ya kutumia urani kwa madhumuni ya amani. Aidha, ameunga mkono kusitishwa kwa hatua za kijeshi akilielezea hilo kuwa ni hatua ya busara kuelekea amani ya kudumu.
-
ABNA Yampongeza Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa Uongozi Wake wa Kuimarisha Amani na Maridhiano Nchini Tanzania
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt News Agency (ABNA) limetoa pongezi kwa Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa mchango wake katika kukuza maridhiano ya kijamii, kuimarisha umoja wa kitaifa na kudumisha amani, akiwa kielelezo cha uongozi wenye hekima na busara, katika siku muhimu ya kuzaliwa kwake.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa: Israel Imalize (ikomeshe) Uvamizi wa Ardhi ya Lebanon
Sébastien Lecornu amesema kuwa hakuna suluhisho la kudumu kwa mzozo wa kikanda unaohusisha Iran bila kushughulikia kwa uzito suala la Lebanon, akitoa wito kwa Israel kusitisha operesheni zake na kuondoa uwepo wake katika ardhi ya Lebanon.
-
Araghchi: Mashauriano kati ya Iran na Misri ni Muhimu kwa Kuimarisha Amani na Utulivu wa Kieneo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza umuhimu wa mashauriano ya pande mbili kati ya Iran na Egypt katika kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kukuza amani pamoja na utulivu wa kieneo, huku akitoa wito wa kutumia ipasavyo uwezo mkubwa wa nchi hizo mbili za Kiislamu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni.
-
Ziara ya Mwenyekiti wa JMAT-TAIFA Sheikh Dkt.Al-Had Mussa Salum Nchini Misri Yaleta Mafanikio kwa Maendeleo ya Vijana
Ziara ya Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum nchini Misri imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kimataifa katika elimu, ajira na maendeleo ya vijana kupitia JMAT.
-
Simulizi ya Trump Kuhusu Haki za Binadamu Yazua Utata
Trump katika kiwango cha juu cha unafiki; anawatetea Wavunjifu wa Amani Iran, lakini anahalalisha mauaji ya waandamanaji kwa Amani Marekani!.
-
Mkuu wa Polisi wa Iran Awaarifu Bunge Kuhusu Juhudi za Kudumisha Amani na Utulivu Nchini
Katika taarifa yake amewaeleza wabunge hatua na juhudi zinazochukuliwa na vyombo vya usalama na utekelezaji wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa nchini.
-
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar
Mazungumzo hayo yamezingatia masuala mbalimbali ya usalama, ulinzi wa taifa, na maendeleo ya majeshi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya majeshi na wananchi katika kuhakikisha amani na utulivu wa taifa.
-
Rais wa Azerbaijan: Hatutumi vikosi vya kulinda amani Gaza
Ilham Aliyev, Rais wa Azerbaijan, ametangaza kuwa nchi yake haina mpango wa kutuma vikosi vyake kushiriki katika operesheni za kulinda amani nje ya mipaka ya nchi, ikiwemo Gaza.
-
Viongozi wa Serikali na Jeshi la Polisi Jijini Mwanza Watunukiwa Tuzo za Amani Kupitia Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026
Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026 imetoa tuzo za heshima kwa viongozi wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Jeshi la Polisi, kama ishara ya kutambua mchango wao katika kudumisha amani, mshikamano na utulivu wa kijamii. Tuzo hizo zilitolewa katika hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za serikali, vyombo vya ulinzi na jamii kwa ujumla kuelekea maandalizi ya tukio hilo muhimu la Maridhiano Day 2026.
-
Mufti Mkuu wa Tanzania:
"Qur’an Tukufu Inahimiza Amani Kama Msingi wa Maisha ya Mwanadamu | Tunajifunza Amani Kutoka Katika Kisa cha Nabii Ibrahim (as)
Katika kufafanua hoja yake, Mufti Mkuu wa Tanzania ametaja kisa cha wageni wa Nabii Ibrahim (as) kama kinavyosimuliwa ndani ya Qur’an Tukufu. Amesema kuwa wageni hao walipoingia nyumbani kwa Nabii Ibrahim (as), walimpa maamkizi ya amani, naye akajibu kwa maamkizi yale yale ya amani.
-
Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba: Mgawanyiko na Vita vya Ndani Havina Mshindi, Amani Ndiyo Ushindi wa Taifa
Kupitia salamu zake za Krismas - Waziri Mkuu ameutanabahisha Umma wa Watanzania dhidi ya Mgawanyiko na kusisitiza umuhimu wa Amani.
-
Salamu za Krismasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan: "Ninawatakia kheri ya Sikukuu ya Krismasi Wakristo na Watanzania wote. Mnaposafiri na kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu, tusherehekee sikukuu hii kwa furaha, amani na upendo."
-
Mwenyekiti wa JMAT–TAIFA: Tukipendana na Kusaidiana Tutajenga Amani ya Taifa Letu
Akizungumza kuhusu msingi wa amani, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania alibainisha kuwa amani ya kweli huanzia katika mahusiano mema yanayojengwa kwa kujali, kuthaminiana na kusaidiana. Alieleza kuwa kitendo cha kusaidiana huondoa chuki na uhasama, kwani mtu anaposaidiwa huhisi kukubalika na kuheshimiwa, hali inayojenga imani na kuimarisha mshikamano wa kijamii.
-
Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika
Tanganyika ilipata Uhuru kwa njia ya Amani; na sisi leo hii tunalo jukumu la kuuimarisha na kuurithisha kwa vizazi vijavyo. Kwa niaba ya Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Nawatakia Kumbukumbu Njema ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Hongera Tanganyika, Hongera Tanzania! Amani na Maridhiano Daima.
-
Mufti wa Tanzania Atoa Wito wa Kulinda Amani na Kuepuka Uchochezi wa Kidini na Maandamano Yanayopangwa Kufanyika 9 Disemba
"Tuepuke upepo mbaya unaosambazwa kwa chuki za kidini. Sisi Waislamu hatukatazwi kuishi kwa wema na wasiokuwa Waislamu. Maisha ya watu lazima yalindwe,” alisema Mufti.
-
Mufti wa Oman ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kusimama imara dhidi ya ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano Ghaza na Israeli
Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, kwa kushangaza hatua za utawala wa Kizayuni za kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano Ghaza, kupitia tamko lililotolewa, aliwahimiza jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kulazimisha utawala wa Kizayuni kuheshimu makubaliano na kudumisha amani ya kusitisha mapigano.