amani
-
Mufti Awataka Watanzania Kutumia Teknolojia kwa Maendeleo, Siyo Kuvuruga Amani na Utulivu nchini +Picha
Mufti awataka Watanzania kutumia elimu na teknolojia kujenga nchi na kuleta maendeleo.Akemea matumizi mabaya ya mitandao kuvuruga amani na kuvunja heshima za watu na viongozi. Awataka vijana kuwa makini na watu wanaotumia teknolojia kueneza kashfa na dharau. Asisitiza umuhimu wa kulinda umoja, utulivu na mshikamano wa Watanzania.
-
Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum: "Kuombea Dua Maiti ni Jambo Lililothibitika katika Qur’an na Sunna - Ukisema Maiti Hafaidiki! Kasome tena Hujui Kitu"
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, ametoa hotuba fupi katika hafla ya Dua ya kumuombea Marehemu Hafidh Amir Hassan, aliyekuwa Mume wa Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisisitiza umuhimu wa kuwaombea Dua waliotangulia mbele ya Haki.
-
Kutoka “Hakuna Vita Wala Amani” Hadi “Ulingano wa Uzuiaji”: Iran Yabadilisha Hesabu za Washington
Vyombo vya habari vya Iran vimechambua mabadiliko ya hali ya kisiasa na kijeshi kati ya Iran na Marekani, vikieleza kuwa Tehran imeweza kuimarisha mlinganyo wa uzuiaji huku China ikiibuka kama mshiriki muhimu katika juhudi za kidiplomasia, hasa kuhusu usalama wa Mlango wa Hormuz.
-
Waziri Mkuu wa India: Pakistan Ikifanya Uvunjifu wa Amani, Tutaingia Katika Ardhi Yake Dondoo
Narendra Modi ameonya kuwa India iko tayari kuingia katika ardhi ya Pakistan endapo nchi hiyo itafanya vitendo vya kigaidi ndani ya India.
-
Waziri Mhe.Deus Sangu Akutana na Waislamu na Viongozi wa Kiislamu katika Maulid ya Mtume Muhammad (s.a.w.w) Kigogo Post, Dar -es- Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, ameshiriki katika hafla ya kumbukizi ya mazazi ya Mtume Muhammad (saww), iliyowakutanisha viongozi mbalimbali wa dini na serikali katika uwanja wa Kigogo Posti, Jijini Dar es Salaam.
-
Taliban yakosoa kuondolewa kwa Afghanistan katika mkutano wa Shanghai
Zabihullah Mujahid amesema kuwa maamuzi ya kikanda ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai bila ushiriki wa Afghanistan yatakuwa “hayajakamilika”; wakati huohuo, viongozi wa jumuiya hiyo katika mkutano wa Bishkek kwa mara nyingine wamesema kuwa kuundwa kwa serikali jumuishi nchini Afghanistan ni sharti la kufikiwa kwa amani na utulivu wa kudumu.
-
Al-Jamaal Islamic Foundation Yampa Pongezi Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa Kuchaguliwa Tena Kuongoza JMAT-TAIFA
Taasisi ya Al-Jamaal Islamic Foundation imempongeza Rais wake, Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum, kwa kuchaguliwa tena kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) kwa kipindi kingine cha miaka 10, huku ikimuombea mafanikio katika kuendeleza juhudi za kuimarisha maridhiano, amani na umoja nchini Tanzania.
-
Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum Apewa Hati ya Ushindi, Aaminiwa Tena Kuongoza JMAT-Taifa
Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum ameibuka mshindi katika uchaguzi wa JMAT Taifa na kukabidhiwa rasmi Hati ya Ushindi mjini Dodoma - Tanzania, akipewa dhamana ya kuendelea kuongoza Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) kwa kipindi kingine.
-
Pakistan: Marekani na Iran Ziko Karibu Kufikia Makubaliano ya Amani — Bloomberg
Pakistan imesema Marekani na Iran ziko karibu kufikia makubaliano mapya kuhusu amani, huku Islamabad ikiendelea na juhudi za upatanishi kati ya Washington na Tehran tangu kuanza kwa mzozo.
-
Pakistan: Ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani Tehran Kulenga Kuimarisha Amani na Usalama wa Kikanda
Pakistan imesema ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Mohsin Naqvi, nchini Iran inalenga kuendeleza mashauriano na Tehran kuhusu kuimarisha uhusiano wa pande mbili, ushirikiano wa kiusalama na juhudi za kuimarisha amani na utulivu katika eneo.
-
Iraq Yaanzisha Operesheni Kubwa ya Kupambana na Magaidi wa Daesh huko Ninawa
Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Iraq kimeanzisha operesheni kubwa ya kiusalama katika mkoa wa Ninawa kwa lengo la kuwasaka mabaki ya kundi la kigaidi la Daesh, kubaini seli zilizojificha na kuimarisha usalama na utulivu katika eneo hilo.
-
Tone kutoka Nahj al-Balagha (47): Mcha Mungu Hatoki Katika Njia ya Haki
"Nafsi yake iko katika taabu kutokana na yeye mwenyewe, na watu wako katika amani kutokana naye." «نَفْسُهُ مِنْهُ فِی عَنَاءٍ» Nafsi yake iko katika uchungu na taabu kwa sababu ya kujidhibiti kwake mwenyewe. «وَ النَّاسُ مِنْهُ فِی رَاحَةٍ» Na watu wako katika raha na utulivu kutokana naye. «أَتْعَبَ نَفْسَهُ لِآخِرَتِهِ» Ameitia nafsi yake katika juhudi na shida kwa ajili ya Akhera yake. «وَ أَرَاحَ النَّاسَ مِنْ نَفْسِهِ» Lakini amewaweka wengine katika amani kutokana na nafsi yake, kiasi kwamba hawapati madhara wala usumbufu wowote kutoka kwake.
-
Ismail Baghaei:
Vitisho na Mashambulizi ya Marekani Dhidi ya Vituo vya Nyuklia vya Amani vya Iran ni Ushahidi wa Uadui wa Kina Dhidi ya Sayansi na Maendeleo ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghaei, amesema kuwa mashambulizi na vitisho vinavyorudiwa vya Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya amani vya Iran vinaonyesha uadui wa kina wa Marekani dhidi ya sayansi, maarifa na maendeleo ya Iran.
-
Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama Apokelewa Katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA
Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama amepokelewa katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA na Mwenyekiti wake Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum, ambapo wamejadili umuhimu wa ushirikiano katika kuimarisha amani, maridhiano na mshikamano wa kitaifa.
-
Ayatollah Khatami: Trump na Netanyahu Hawatakuwa na Usingizi wa Amani
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu ya Qom amesema kuwa ibada za mazishi ya Kiongozi aliyefariki akiwa shahidi katika maeneo mbalimbali ya nchi zimegeuka kuwa jukwaa la umoja, mshikamano na kuhuisha ahadi ya utii kwa Mapinduzi ya Kiislamu. Amesisitiza kwamba: “Trump na Netanyahu hawatakuwa na usingizi wa amani.”
-
Qalibaf: Amani ya kweli nchini Lebanon haiwezi kupatikana bila mchango wa Iran
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa amani ya kudumu nchini Lebanon inaweza kupatikana kupitia nafasi ya Iran, huku akisisitiza kuendelea kuunga mkono washirika wa Jamhuri ya Kiislamu katika Muqawama.
-
Marekani yafichua rasimu ya makubaliano ya amani kati ya Israel na Lebanon kwa upatanishi wa Washington
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka wazi maandishi ya makubaliano ya awali ya amani kati ya Israel na Lebanon yaliyofikiwa kupitia upatanishi wa Marekani mjini Washington. Makubaliano hayo yanalenga kumaliza uhasama wa muda mrefu, kuimarisha usalama wa mipaka, na kuweka utaratibu wa hatua kwa hatua wa kuimarisha mamlaka ya dola nchini Lebanon huku vikosi vya Israel vikijipanga upya kwa awamu.
-
Rais wa Falme za Kiarabu Apongeza Makubaliano ya Marekani na Iran na Kusisitiza Amani ya Kudumu Mashariki ya Kati
UAE yaunga mkono makubaliano ya Marekani na Iran, ikisisitiza amani ya Mashariki ya Kati ijengwe juu ya heshima ya mamlaka ya mataifa na sheria za kimataifa.
-
Makubaliano ya Iran na Marekani Yazua Mabadiliko Mapya ya Kisiasa Mashariki ya Kati
Makubaliano ya amani kati ya Iran na Marekani yameibua mabadiliko makubwa ya kisiasa Mashariki ya Kati, huku yakionekana kuwa ushindi wa diplomasia lakini yakizua mvutano mpya kuhusu Lebanon, Israel na mustakabali wa uhusiano wa Washington na Tel Aviv.
-
Netanyahu Awataka Raia wa Lebanon Kuungana na Israel Dhidi ya Hezbollah
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa wito kwa raia wa Lebanon kujitenga na Hezbollah, akidai kuwa kundi hilo limeishikilia nchi hiyo “mateka” na kusisitiza kuwa Israel haina uhasama na wananchi wa Lebanon.
-
Sheikh Pro.Alhad Mussa Salum: Serikali Hupambana na Kuchukua Hatua dhidi ya Wanaotishia Maslahi Yake, Sio kwa Msingi wa Dini
Sheikh Prof.Alhad Mussa Salum: "Nchi ya Tanzania ni nchi ya Amani na sisi sote ni Watanzania, tunaishi kwa Upendo na Amani na watu wote. Uislamu ni Amani na unatufundisha kuishi kwa wema na watu wote."
-
Putin: Iran Haina Nia ya Silaha za Nyuklia, Aunga Mkono Kusitishwa kwa Hatua za Kijeshi
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa Iran haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia na ina haki ya kutumia urani kwa madhumuni ya amani. Aidha, ameunga mkono kusitishwa kwa hatua za kijeshi akilielezea hilo kuwa ni hatua ya busara kuelekea amani ya kudumu.
-
ABNA Yampongeza Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa Uongozi Wake wa Kuimarisha Amani na Maridhiano Nchini Tanzania
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt News Agency (ABNA) limetoa pongezi kwa Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa mchango wake katika kukuza maridhiano ya kijamii, kuimarisha umoja wa kitaifa na kudumisha amani, akiwa kielelezo cha uongozi wenye hekima na busara, katika siku muhimu ya kuzaliwa kwake.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa: Israel Imalize (ikomeshe) Uvamizi wa Ardhi ya Lebanon
Sébastien Lecornu amesema kuwa hakuna suluhisho la kudumu kwa mzozo wa kikanda unaohusisha Iran bila kushughulikia kwa uzito suala la Lebanon, akitoa wito kwa Israel kusitisha operesheni zake na kuondoa uwepo wake katika ardhi ya Lebanon.
-
Araghchi: Mashauriano kati ya Iran na Misri ni Muhimu kwa Kuimarisha Amani na Utulivu wa Kieneo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza umuhimu wa mashauriano ya pande mbili kati ya Iran na Egypt katika kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kukuza amani pamoja na utulivu wa kieneo, huku akitoa wito wa kutumia ipasavyo uwezo mkubwa wa nchi hizo mbili za Kiislamu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni.
-
Ziara ya Mwenyekiti wa JMAT-TAIFA Sheikh Dkt.Al-Had Mussa Salum Nchini Misri Yaleta Mafanikio kwa Maendeleo ya Vijana
Ziara ya Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum nchini Misri imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kimataifa katika elimu, ajira na maendeleo ya vijana kupitia JMAT.
-
Simulizi ya Trump Kuhusu Haki za Binadamu Yazua Utata
Trump katika kiwango cha juu cha unafiki; anawatetea Wavunjifu wa Amani Iran, lakini anahalalisha mauaji ya waandamanaji kwa Amani Marekani!.
-
Mkuu wa Polisi wa Iran Awaarifu Bunge Kuhusu Juhudi za Kudumisha Amani na Utulivu Nchini
Katika taarifa yake amewaeleza wabunge hatua na juhudi zinazochukuliwa na vyombo vya usalama na utekelezaji wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa nchini.
-
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar
Mazungumzo hayo yamezingatia masuala mbalimbali ya usalama, ulinzi wa taifa, na maendeleo ya majeshi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya majeshi na wananchi katika kuhakikisha amani na utulivu wa taifa.
-
Rais wa Azerbaijan: Hatutumi vikosi vya kulinda amani Gaza
Ilham Aliyev, Rais wa Azerbaijan, ametangaza kuwa nchi yake haina mpango wa kutuma vikosi vyake kushiriki katika operesheni za kulinda amani nje ya mipaka ya nchi, ikiwemo Gaza.