mkataba
-
Iran: Mashambulizi ya Marekani Kusini mwa Nchi Yathibitisha Kutoheshimu Ahadi za Kimataifa
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya vituo vya ufuatiliaji kusini mwa Iran, ikisema kuwa hatua hiyo inaonesha wazi kwamba Washington haithamini wala kuheshimu ahadi na wajibu wake wa kimataifa.
-
Somalia Yasisitiza Umoja wa Kitaifa na kwamba Ukamilifu wa Ardhi na Mamlaka ya Taifa Lake Haviwezi Kugawanyika
Balozi wa Somalia katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa ukamilifu wa ardhi na mamlaka ya taifa la Somalia hauwezi kugawanywa, akieleza vipaumbele vya urais wa Somalia wa Baraza la Usalama Januari 2026 na kukataa vikali hatua zozote zinazolenga kudhoofisha umoja wa nchi hiyo.
-
Mkataba wa mabilioni kadhaa ya dola wa Israel kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa ngao ya Chuma (Iron Dome)
Wizara ya Ulinzi ya Israel imetiliana saini mkataba mkubwa na Kampuni ya Rafael ili kuongeza kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa makombora ya kukinga ya mfumo wa Iron Dome (Gombo la Chuma).
-
Mtume Muhammad (s.a.w.w) na Misingi ya Utengamano katika Jamii
Mtume (s.a.w.w) aliweka msingi wa amani kupitia Mkataba wa Madina, uliounganisha Waislamu, Mayahudi na makabila mengine chini ya sheria ya haki na ulinzi wa pamoja.
-
Ukosoaji wa Mwakilishi wa Hezbollah:
Ukimya wa Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita Kuhusu Uhalifu Mpya wa Utawala wa Kizayuni
Azaldin: Adui tangu mwanzo haikuwa imezingatia kuacha mashambulizi, lakini Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita hadi sasa haijachukua msimamo wowote dhidi ya adui wa Kizayuni.
-
Makabiliano ya kimya kati ya Misri na Israel huko Sinai
Kuongezeka kwa uwepo wa kijeshi wa Misri katika Sinai na ushirikiano wa kimkakati na China, kumeanzisha mgogoro mpya kati ya Cairo na Tel Aviv na kuweka hatarini mustakabali wa mkataba wa amani wa Camp David.
-
Kabla ya kuondoka Tehran kuelekea Iraq na Lebanon;
LariJani: Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa / Kusisitiza umoja wa kitaifa wa Lebanon
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa alisema kwamba usalama wa Iran unategemea usalama wa majirani zake na kuongeza: “Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa na utaasainiwa katika safari hii.”