Mitandao
-
Mjadala Mkubwa Wazuka Mitandaoni Kuhusu Taarifa Zinazokinzana za Uwezo wa Kijeshi wa Iran
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamehoji taarifa zinazokinzana kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran, baada ya baadhi ya vyombo vya habari kudai kuwa umedhoofika pakubwa huku matukio ya baadaye yakionyesha Iran ikiendelea na operesheni za kijeshi, hali iliyozua mjadala kuhusu ukweli wa taarifa hizo.
-
-
Le Figaro yafichua: Vita halisi vya Israel dhidi ya Iran vinaendelea katika mitandao ya kijamii!
Le Figaro yafichua kuwepo kwa vita vya kisaikolojia vya Israel dhidi ya Iran kupitia mitandao ya kijamii. Ripoti inasema lengo ni kusukuma simulizi ya kubadilisha utawala sambamba na vitisho vya kijeshi. Akaunti bandia, maudhui ya AI, hashtag elekezi na operesheni za kidijitali hutumika kuendesha kampeni hiyo.
-
Rais wa Azerbaijan: Hatutumi vikosi vya kulinda amani Gaza
Ilham Aliyev, Rais wa Azerbaijan, ametangaza kuwa nchi yake haina mpango wa kutuma vikosi vyake kushiriki katika operesheni za kulinda amani nje ya mipaka ya nchi, ikiwemo Gaza.
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Utani wa Trump kwa Balozi wa Saudi Arabia Mjini Washington umeibua mjadala mkali
Video ya hotuba ya Rais wa Marekani katika kikao kilichofanyika Miami, ambapo alitumia mtindo wa utani akimtaja Balozi wa Saudi Arabia nchini Marekani, imesambaa kwa wingi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua maoni na mjadala mkali miongoni mwa watumiaji.
-
Zulia nyekundu la Israel kwa wafuasi wa mitandao na viongozi wanaopinga Uislamu ili kukabiliana na upweke unaoongezeka
Mnamo mwezi Oktoba huu, serikali ya Kizayuni ya Israeli imekaribisha na kualika wafuasi maarufu wa mitandao wenye mwelekeo mkali wa kulia kutoka Uingereza na Marekani, ikiwa na lengo la kuunda propaganda ya vyombo vya habari ili kukabiliana na upweke unaoongezeka wa Israel katika jamii za kimataifa kufuatia mashambulizi na mauaji ya kimbari yaliyofanyika Gaza.
-
Marekani Yapongeza Uamuzi wa Baraza la Mawaziri wa Lebanon wa Kulazimisha Udhibiti wa Silaha Mikononi mwa Serikali
Mjumbe wa Marekani afurahishwa na hatua ya baraza la mawaziri la Lebanon dhidi ya silaha za Muqawama.