Mtihani huu ni sehemu ya ratiba ya kila mwaka ya Ki-Hawza inayojumuisha vipindi vinne vya mitihani (robo).
Tunawatakia Wanafunzi hawa kila la heri katika juhudi zao za kielimu!.
Majukumu ya Mwalimu yamegawanyika katika sehemu kuu tatu :- Majukumu yake binafsi, majukumu juu ya wanafunzi wake, na majukumu yake akiwa darasani.