Mitihani
-
Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam | Mtihani wa Kila Wiki: Hatua ya Kuimarisha Uelewa na Maandalizi Bora ya Kielimu na Ufaulu wa Wanafunzi
Kupitia mitihani hii ya wiki, walimu hupata nafasi ya kufuatilia maendeleo ya kielimu kwa kila mwanafunzi, kutambua changamoto zinazojitokeza katika masomo, na kuweka mikakati ya kuboresha ufaulu.
-
Mgogoro wa marufuku ya Hijabu katika mji wa “Axum” nchini Ethiopia / Wanafunzi Waislamu warejea shuleni kwa amri ya mahakama
Katika nchi yenye historia ya kuishi kwa amani baina ya dini mbalimbali, mgogoro wa hijabu katika mji wa Axum umeibua tena mjadala kuhusu uhuru wa kidini nchini Ethiopia. Uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama Kuu ya eneo la Tigray unaweza kuwa hatua muhimu katika kuthibitisha haki za Waislamu na kuimarisha msingi wa usawa wa uraia .
-
Mitihani ya Kila Wiki - Chuo Kikuu cha Al-Mustafa(s), Dar es Salaam - Tanzania
Mchakato huu umefanyika chini ya usimamizi makini wa walimu na uongozi wa chuo ili kuhakikisha haki, uadilifu wa kielimu na nidhamu ya kimasomo vinazingatiwa ipasavyo.
-
Wanafunzi wa Madrasatul Hizbullah Al-‘Ilmiyyah Wafanya Mtihani wa Mwisho wa Mwezi - Kazole, Vikindu
Madrasatul Hizbullah Al-‘Ilmiyyah inatoa wito kwa jamii kuendelea kuiunga mkono taasisi hiyo ili iweze kuendelea kutoa elimu bora na kukuza kizazi chenye maarifa, hikma na hofu ya Mwenyezi Mungu.
-
Wanafunzi wa Hawzatul-Qaim (atfs) waanza Mitihani ya Robo ya pili - 2025
Mtihani huu ni sehemu ya ratiba ya kila mwaka ya Ki-Hawza inayojumuisha vipindi vinne vya mitihani (robo).
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania | Jumamosi ya Bidii na Maarifa!
Tunawatakia Wanafunzi hawa kila la heri katika juhudi zao za kielimu!.
-
Majukumu ya Mwanalimu na Mwanafunzi (1)
Majukumu ya Mwalimu yamegawanyika katika sehemu kuu tatu :- Majukumu yake binafsi, majukumu juu ya wanafunzi wake, na majukumu yake akiwa darasani.