Onyo
-
Turki Al-Faisal: Tishio Kuu la Mashariki ya Kati Sio Iran, Bali ni Israel
Shambulizi Dhidi ya Ujumbe wa Hamas Qatar ni Onyo kwa Nchi za Ghuba | Katika kauli yake nzito, Turki Al-Faisal pia amebainisha kuwa shambulizi la Israel dhidi ya ujumbe wa Hamas nchini Qatar lilikuwa ujumbe wa vitisho kwa nchi za Ghuba, akisema hatua hiyo ilikuwa onyo la wazi kuwa mataifa ya Ghuba yako katika hatari na yanapaswa kuchukua tahadhari za pamoja za kiulinzi.
-
Uchambuzi wa ramani ya Israel: Kutoka Ghaza na Ukanda wa Magharibi hadi Syria katika kivuli cha ukimya na Vita Baridi
Baada ya tangazo la mapumziko ya silaha, umakini wa kimataifa kwa Ghaza ulipungua, na kuipa Israel nafasi ya kuchukua hatua bila shinikizo lolote la kweli. Uchambuzi huu unaisha kwa onyo kwamba kimya cha kimataifa kinachoendelea hakiondoi uwezekano wa mlipuko wa hali hiyo, bali kinariongeza.
-
Kufariki au Kuuawa Shahidi: Ripoti ya Mdahalo / Uhakiki wa Kitaaluma wa Masuala ya Itikadi kwa Kuzuia Uvunjaji na Upotoshaji
Mdahalo kuhusu riwaya za shahada ya Bibi Fatima (a.s) ulifanyika kati ya Hamed Kashani na Abdulrahim Soleimani; Soleimani aliona baadhi ya riwaya hazina uthibitisho, lakini Kashani, akirejelea vyanzo vya kuaminika, alithibitisha kuwa shambulio na madhara yaliyotokea kwa Bibi Fatima (a.s) yalikuwa halisi, na akatoa onyo kuwa kukanusha matukio hayo kunaweza kuwa fursa kwa mitazamo ya kupinga Shi’a kutumika kwa uharibifu.
-
Onyo la jarida la The National Interest kuhusu kuibuka kwa “Hezbollah Mpya” Katika Eneo
Jarida la Marekani “The National Interest” katika makala yake ya uchambuzi limeonesha shaka kuhusu mafanikio ya mpango wa Donald Trump wa kuleta uthabiti wa kudumu katika Ukanda wa Gaza, na limeonya kuwa mpango huo unaweza kuchangia kuibuka kwa taasisi au kundi jipya linalofanana na Hezbollah katika eneo hilo.
-
Katika mkutano na kundi la wanafunzi wa vyuo vya kidini:
Sheikh Zakzaky atoa onyo kuhusu juhudi za kutengeneza “Uhusiano wa kawaida” ili kuhalalisha uhusiano na Madhalimu
Sheikh Zakzaky amesema: “Kama maridhiano na madhalimu yangekuwa sahihi, basi Imam Hussein (a.s) angekubaliana na Yazid.” Sheikh Ibrahim Zakzaky, katika mkutano na kundi la wanafunzi wa vyuo vya kidini kutoka nchi kadhaa za Kiislamu, alisisitiza wajibu wa kielimu na kijamii wa wanafunzi wa dini, akiwahimiza kujifunza kwa undani elimu za Kiislamu, kuielimisha jamii, na kulinda uhuru wa fikra. Aidha, alitoa onyo kali kuhusu juhudi za kuhalalisha au kuzoesha maridhiano na madhalimu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran | Atoa Onyo kwa Marekani : "Hatutavumilia ukiukwaji wa sitisho la mapigano, Sisi sio kama Lebanon"
Kauli hii ni onyo kali kwa Marekani na washirika wake dhidi ya uvunjaji wowote wa makubaliano ya amani au usitishaji wa mapigano katika muktadha wa mvutano wa kijeshi unaoendelea katika eneo.
-
Onyo la Jeshi la Iran kwa Walowezi wa Israel | Ondokeni katika Maeneo yote ya Israel haraka ili muokoe Nafsi zenu
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajiandaa na shambulizi kubwa ambalo wameliita kuwa litakuwa ni shambulizi la Kutoa adhabu kwa Adui Israel. Kutokana na hilo imewataka Walowezi wa Kizayuni kutoka ndani ya Israel haraka Sana ili waokoe Nafsi zao.