Pamoja
-
Mwanajeshi wa Zamani wa Marekani: Uzayuni ni Adui wa Pamoja wa Mataifa, Iran ni Alama ya Kusimama Dhidi ya Dhuluma
Nicholas Ken O’Keefe amesema kuwa taswira ya Iran inayotolewa na baadhi ya vyombo vya habari vya Magharibi haifanani na hali halisi, akisisitiza kuwa Iran imeonyesha uwezo mkubwa wa kustahimili mashinikizo ya kimataifa na kuwa mfano wa kupinga dhuluma.
-
Ayatollah Amoli Larijani: Wananchi wa Iran Wanasimama Pamoja na Lebanon
Mwenyekiti wa Baraza la Utambuzi wa Maslahi ya Mfumo wa Iran, Ayatullah Sadeq Amoli Larijani, amesema wananchi wa Iran wanaendelea kusimama pamoja na Lebanon, akieleza kuwa ni wajibu wa kihistoria na wa kiutu kuunga mkono taifa hilo katika kukabiliana na mashambulizi ya Israel.
-
Burkina Faso, Mali na Niger Zazindua Operesheni ya Pamoja ya Kijeshi Dhidi ya Makundi ya Kijihadi
Kiongozi wa mpito wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ametangaza kuanza kwa hatua mpya za kijeshi katika eneo la Sahel baada ya nchi yake, kwa kushirikiana na Mali na Niger, kuzindua operesheni ya pamoja inayolenga kukabiliana na makundi ya kijihadi yanayohusishwa na Al-Qaeda na ISIS. Hatua hiyo inakuja katika muktadha wa kuimarishwa kwa muungano wa kijeshi wa nchi hizo tatu, huku zikisisitiza mshikamano wa kiusalama na mwelekeo mpya wa ushirikiano wa kikanda kufuatia kujiondoa kwao katika ECOWAS na kuvunja ushirikiano wa awali na Ufaransa na Marekani.