Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba, hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu ambao ni walinzi na watetezi wa Iran ya Kiislamu itafanyika Siku ya Jumanne, tarehe 17 Juni, 2025, saa 8:00 Asubuhi katika Medani ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Tehran.
Ibada kuu na sherehe za kuwekwa wakfu
Askofu wa Makanisa ya Glory Outreach Assembly Tanzania. Tukio hili la kipekee litafanyika:Tarehe: Jumapili, 27 Julai 2025.