Tangazo
-
Umoja wa Mataifa Wakaribisha Hatua ya Uingereza, Kanada na Australia Kuhusu Palestina
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika taarifa yake amesema kuwa hatua ya kutambua rasmi Taifa la Palestina iliyochukuliwa na Uingereza, Kanada na Australia ni jambo muhimu na la kimaendeleo, kama sehemu ya suluhisho linalojulikana kama mpango wa mataifa mawili.
-
Chini ya Uangalizi wa Shirika la Habari la Abna:
Maelezo ya Tukio la Pili la Vyombo vya Habari “Nahnu Abna Al-Hussain (AS)” Yatangazwa / Formati, Tuzo, Njia za Kuwasilisha Kazi, na Picha ya Tangazo
Tukio la pili la vyombo vya habari “Nahnu Abna Al-Hussain (AS)” linakusudia kukuza na kuunga mkono kazi za kisanii na vyombo vya habari wakati wa msimu wa Arbaeen kwa mtazamo wa kimataifa, likionyesha uwepo wa mataifa mbalimbali, tamaduni, na dini, na litakubali kazi (Mawasilisho) kutoka kwa Mazuwwari wa Arbaeen.
-
Tangazo kutoka kwa Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu:
Marasimu ya Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi wa Walinzi na Watetezi wa ngazi za juu wa Iran ya Kiislamu itafanyika
Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba, hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu ambao ni walinzi na watetezi wa Iran ya Kiislamu itafanyika Siku ya Jumanne, tarehe 17 Juni, 2025, saa 8:00 Asubuhi katika Medani ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Tehran.
-
Tangazo Maalum | Kutoka Kanisa la Glory Outreach Assembly Tanzania
Ibada kuu na sherehe za kuwekwa wakfu Askofu wa Makanisa ya Glory Outreach Assembly Tanzania. Tukio hili la kipekee litafanyika:Tarehe: Jumapili, 27 Julai 2025.