Wavamizi
-
Al-Bukhaiti: "Vita imeingia katika awamu mpya na wavamizi watalipa gharama kubwa"
Mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ametangaza kuwa shambulio dhidi ya kikao cha Serikali ya Yemen huko Sana'a lilivuka mistari miekundu na kwamba vita imeingia katika awamu mpya.
-
Mufti wa Oman:
“Inasikitisha kuwa waandishi wa habari wanauawa Gaza na baadhi wanaendelea kuwaunga mkono wavamizi”
Mufti wa Oman amelaani mauaji ya waandishi wa habari katika mji wa Gaza yaliyofanywa na jeshi la Israel, na kutamka masikitiko yake juu ya kuendelea kwa baadhi ya watu na nchi kuunga mkono wavamizi.
-
Hashd ni nguzo ya hema, na Muqawama ni heshima ya Umma wa Iraq / Hatutapatanishwa na Wavamizi
Al_Walaiy: “Tunaiweka hai Gaza ndani ya nyoyo zetu na tuko tayari daima kuwasaidia.” Alieleza kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni furaha kwao, na kwamba ndugu zao wa Lebanon ni mfano wa ushindi - ushindi uliotabiriwa na Qur’an Tukufu.
-
Kamanda wa Jeshi la Iran (IRGC) Aonya: "Tutarejelea mapigano (vita) kwa kuanzia katika nukta ile tulipoishia - Hatutamuacha Adui Mchokozi!"
Jenerali Pakpour alisisitiza kuwa majeshi ya Iran yako katika hali ya juu ya utayari na mshikamano kamili kurudia mashambulizi dhidi ya adui, akibainisha kuwa: “Waisraeli wameuona moto wa kuzimu waliokuwa wameahidiwa kwa macho yao wenyewe katika siku za mwisho za vita.”