baharini
-
Gharibabadi: Haki ya Mamlaka juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz ni ya Iran na Oman Pekee
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na Oman ndizo pekee zenye haki ya mamlaka juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz, akisisitiza kuwa hakuna nchi nyingine inayopaswa kuingilia usimamizi wa njia hiyo muhimu ya baharini.
-
Radiamali za Kimataifa kuhusu nia ya Trump kuunganisha Greenland na Marekani; Ikulu ya White House:Umuhimu wa kimkakati wa kisiwa kwa usalama wa taifa
"serikali ya Marekani kwa sasa inachunguza chaguzi mbalimbali ili kufanikisha lengo hili la kimkakati, na ikiwezekana hata “kutumia jeshi” ni miongoni mwa uwezekano unaozingatiwa na Ikulu ya White House".
-
Habari za Hivi Punde | Iran Yakamata Meli Iliyokuwa Inasafirisha Lita Milioni 4 za Mafuta ya Magendo katika Ghuba ya Uajemi
Maafisa wa Iran wamesisitiza kuwa operesheni hiyo ni sehemu ya juhudi endelevu za kupambana na magendo ya rasilimali za taifa, kulinda uchumi wa nchi, na kudumisha usalama wa majini katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Iran Yatuma Makundi Mawili ya Kijeshi Baharini Kulinda Meli Zake
Wachambuzi wa kimataifa wanasema kuwa hatua hii inaongeza mvutano kati ya Tehran na Washington, huku ikionyesha hatari zinazoongezeka kwa usalama wa usafirishaji wa baharini.
-
Dai la Wall Street Journal: Vikosi vya Marekani Vavamia Meli Iliyokuwa Ikisafirisha Shehena ya China Kwenda Iran
Kwa mujibu wa madai ya gazeti la Wall Street Journal, vikosi maalum vya Marekani vilivamia na kuteka meli iliyokuwa ikibeba shewena ya kijeshi kutoka China kuelekea Iran katika Bahari ya Hindi mnamo Novemba 2025.
-
Trump: Hivi karibuni tutaanzisha operesheni ya kijeshi ya ardhini nchini Venezuela
Rais wa Marekani ametangaza kuongezwa kwa mashambulizi kutoka baharini hadi ndani ya ardhi ya Venezuela, na kusema kuwa Washington “hivi karibuni sana” italenga njia za ardhini zinazotumiwa kwa magendo.
-
Jeshi la Yemen Latangaza Awamu ya Nne ya Kufunga Njia za Baharini, Latoa Onyo kwa Ndege Zinazosaidia Israel
Ndege yoyote, iwe ya kijeshi au kibiashara, itakayojihusisha na shughuli za kusaidia Israel, tutaiangamiza. Itaingia kwenye historia.
-
Shehena ya Mirungi kutoka Kenya Yanaswa Baharini na Polisi Tanga Katika Msako Maalum
Jeshi linasisitiza ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya dola katika kukomesha biashara na usafirishaji wa dawa za kulevya nchini.
-
Mafanikio mawili ya Yemen ndani ya siku moja; Mashambulizi ya Kimaonyesho dhidi ya Hodeidah yazimwa na kushindwa/Meli "Magic Seas" Yazamishwa Baharini
Yemen, imefanikiwa kuitwanga meli iliyokuwa ikielekea maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haram wa Kizayuni, na kuizamisha baharini.