baharini
-
Jeshi la Yemen Latangaza Awamu ya Nne ya Kufunga Njia za Baharini, Latoa Onyo kwa Ndege Zinazosaidia Israel
Ndege yoyote, iwe ya kijeshi au kibiashara, itakayojihusisha na shughuli za kusaidia Israel, tutaiangamiza. Itaingia kwenye historia.
-
Shehena ya Mirungi kutoka Kenya Yanaswa Baharini na Polisi Tanga Katika Msako Maalum
Jeshi linasisitiza ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya dola katika kukomesha biashara na usafirishaji wa dawa za kulevya nchini.
-
Mafanikio mawili ya Yemen ndani ya siku moja; Mashambulizi ya Kimaonyesho dhidi ya Hodeidah yazimwa na kushindwa/Meli "Magic Seas" Yazamishwa Baharini
Yemen, imefanikiwa kuitwanga meli iliyokuwa ikielekea maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haram wa Kizayuni, na kuizamisha baharini.
-
Kushindwa kwa Wamarekani Mbele ya Msimamo wa Wayemen Katika Kipindi cha Siku 50 / Ansarullah Yabadilisha Mlinganyo wa Dunia kwa Manufaa ya Muqawama
Katika kipindi cha siku 50 za mapambano ya kistratejia baharini, harakati ya Ansarullah ya Yemen imeweza kusimama imara dhidi ya mashinikizo ya kijeshi na kisiasa ya Marekani na washirika wake, na hatimaye kuwadhihirishia ulimwengu kwamba dhamira ya mataifa huru inaweza kuvunja nguvu za mabeberu.