dharura
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.
-
Mkutano wa Viongozi wa Iran na Iraq:
Pezeshkian: Waislamu wafanye jitihada kusitisha jinai za utawala wa Kizayuni Al-Sudani: Juhudi za nchi za Kiislamu zisibaki kwenye matamko tu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri Mkuu wa Iraq wametoa msisitizo juu ya ulazima wa kuchukua msimamo mmoja wa pamoja kati ya nchi za Kiislamu, ili kuwe na hatua madhubuti na za vitendo za kusitisha na kuzuia marudio ya jinai za utawala wa Kizayuni.
-
Doha kuandaa mkutano wa dharura wa Kiarabu-Kiislami baada ya shambulio la Israel
Ijumaa, Qatar ilikaribisha hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani shambulio la Israel dhidi ya ujumbe wa Hamas mjini Doha, ikilitaja shambulio hilo kama “la usaliti” na ukiukaji wa kanuni za kimataifa.
-
Utabiri wa Mazuwwari 8 Milioni Katika Siku za Mwisho za Mwezi wa Safar
Naibu wa Kitengo cha Utamaduni, Jamii na Hija wa Mkoa wa Khorasan Razavi, Hojjatoleslam Ali Asgari, amesema kuwa idadi ya mazuwwari katika siku za mwisho za mwezi Safar imeongezeka kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na mwaka uliopita. Kwa kuzingatia likizo zinazokaribia, inatarajiwa kuwa idadi ya mazuwwari itafikia takriban milioni 8.