kivita
-
Kituo cha 12 cha Israel: "Hezbollah ina wapiganaji 70,000 na mamia ya makombora, iko tayari kwa makabiliano na Israel"
Usiku uliopita, katika mwendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon, utawala huo ulianzisha mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Lebanon.
-
Kauli za Maduro Mahakamani: “Mimi ni Mfungwa wa Vita na Sikubali Mashtaka Niliyotuhumiwa nayo”
Rais wa Venezuela Nicolás Maduro amesema mbele ya mahakama ya New York kuwa yeye ni mfungwa wa vita, akisisitiza kuwa hana hatia na hakubali mashtaka yote yanayomkabili yeye na mkewe. Mahakama imeruhusu wawili hao kuwasiliana na ubalozi wa nchi yao, huku wakili wa Maduro akibainisha kuwa kwa sasa hawajaomba dhamana lakini wanaacha uwezekano huo wazi baadaye.
-
Gazeti la Guardian limeandika:
Uingereza dhidi ya Ubinadamu / Kuajiri mamluki wa Colombia nchini Uingereza kwa ajili ya vita nchini Sudan
Serikali ya Uingereza hivi karibuni imeweka taratibu kali zaidi za kuchunguza uhalali wa wakurugenzi wa makampuni, imeweka vikwazo dhidi ya viongozi wa RSF, na imerudia wito wake wa kusitishwa mara moja kwa uhalifu, kulindwa kwa raia, na kuhakikisha upatikanaji wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan.
-
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu yakataa ombi la Israel la kusitisha uchunguzi wa vita vya Gaza
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Jumatatu usiku ilikataa pingamizi la kisheria na ombi la rufaa la utawala wa Kizayuni wa Israel, na hivyo kuweka wazi njia ya kuendelea na uchunguzi wa uhalifu wa kivita unaofanywa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
-
Riwaya ya Mapambano ya Wapalestina Dhidi ya Ukoloni katika Miaka ya 1930 / Mizizi ya Uhalifu na Unyama wa Kizayuni Leo Iko Wapi?!
Filamu Palestine 36 inaonyesha kwa ustadi mkubwa kwamba uhalifu wa utawala wa Kizayuni unatokana moja kwa moja na ukatili, uvamizi na unyama wa Dola ya Uingereza katika kipindi cha ukoloni.
-
Jeshi la Israel wafanya mashambulizi mapya Gaza baada ya siku ya mauaji makubwa
Jeshi la Israel limefanya mashambulizi ya anga mashariki mwa Khan Yunis na kuua na kuwajeruhi makumi ya raia. Vikosi vya uokoaji viliopoa miili ya mashahidi na kuwahamisha waliojeruhiwa, huku hospitali zikithibitisha vifo 28, wakiwemo watoto 17.
-
Mashambulio ya anga ya Israeli kusini mwa Lebanon / Madai ya kuua kigaidi Wanachama 3 wa Hezbollah
Jeshi la Israeli limetangaza kuwa ndege zake za kivita zimefanya mlolongo wa mashambulio ya anga dhidi ya malengo katika kusini mwa Lebanon.
-
Je, ilikuwa sahihi kutumia vijana baleghe wachanga katika Vita vya Kulazimishwa (Vita vya Iran na Iraq)?
Nchi kadhaa za Ulaya, ikiwemo Ujerumani, zimeruhusu kisheria ajira ya zaidi ya watoto askari 1,500 chini ya utaratibu wa kipekee wa jeshi.
-
Iran | Ulinzi wa Anga: "Tumepambana na ndege za Kijeshi na Droni 130 hadi leo asubuhi
Katika Mapambano hayo, dhidi ya ndege za kivita na ndege zisizo na rubani (Droni) aina ya "Hermes", "Heron" na ndege za kujilipua aina ya "Harop", walifanikiwa kuziharibu na kuziangusha katika maeneo mbalimbali ya nchi.