maandalizi
-
Ayatollah Sayyid Yasin Musawi, Imamu wa Ijumaa Baghdad:
Jeshi la Muqawama chini ya Bendera ya Wilayat litaendeleza njia ya Shahidi Nasrallah | Umoja na utiifu kwa Kiongozi wa Kiislamu ni sharti la ushindi
Ayatollah Musawi alisisitiza kuwa jina “Nasrallah” lina mizizi katika nusra ya Mwenyezi Mungu, na historia ya mapambano imethibitisha kuwa licha ya gharama kubwa, irada ya umma kuendeleza njia ya mashahidi na kufikia ushindi haitadhoofika kamwe.
-
Ayatollah Ramadhani:
Arubaini ni miongoni mwa matukio muhimu sana yanayotoa mazingira ya ustawi, ukomavu, na maandalizi ya pamoja kwa ajili ya kudhihiri Imam Mahdi(atfs)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Gharama ya kujisalimisha ni kupoteza utambulisho wa kitaifa, utambulisho wa kidini, utambulisho wa kibinafsi, na hata utu wa kibinadamu. Mwanadamu, hata akilipa gharama ya kusimama imara (kupinga), ni bora kuliko kulipa gharama ya kujisalimisha.
-
Kutoka kwenye Kampeni ya "Ziara kwa Njia ya Mbali" hadi Kuachiwa kwa Wafungwa: Maandalizi ya Wiki ya Umoja Mkoani Gilan
Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Mujtaba Ashjari, Mwenyekiti wa Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu mkoa wa Gilan, amesema kuwa wiki ya Umoja itashuhudia mfululizo wa shughuli za kiroho, kijamii na kusaidia wahitaji, ikiwa ni pamoja na kampeni za ibada, misafara ya furaha, utoaji wa misaada kwa familia zisizojiweza, na kusaidia wanafunzi masikini.
-
Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam | Mtihani wa Kila Wiki: Hatua ya Kuimarisha Uelewa na Maandalizi Bora ya Kielimu na Ufaulu wa Wanafunzi
Kupitia mitihani hii ya wiki, walimu hupata nafasi ya kufuatilia maendeleo ya kielimu kwa kila mwanafunzi, kutambua changamoto zinazojitokeza katika masomo, na kuweka mikakati ya kuboresha ufaulu.
-
Trump adai: Ninashughulikia mpango wa kuwafikishia chakula watu wa Ukanda wa Gaza
"Nipo katika hatua ya maandalizi ya kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa watu wa Gaza"
-
Sheikh Dkt. Reihan Yasin: "Nafasi ya Vijana Katika Mapinduzi ya Imam Hussein(as) Katika Ardhi ya Karbala"
Vijana Waumini wa Kiislamu walicheza nafasi muhimu, yenye ufanisi mkubwa na athari chanya katika Vita vya Karbala. Karbala ilikuwa imejaa vijana, na mmoja wao alikuwa ni "Qasim bin Hassan". Alikuwa kijana na shujaa, na pia alikuwa anayo maanadalizi ya kutosha, kwa sababu alikuwa na moyo safi na wenye utimamu.