msemaji
-
Jenerali Shakarchi: Uzalishaji wa Makombora ya Iran Hautasimama Kamwe / Uzoefu wa Libya Umeonyesha Kuondoa Silaha Kunaleta Uharibifu Tu
Shakarchi aliongeza: Adui walidhani kuwa kuendelea kwa vita zaidi ya wiki moja kutasababisha uchovu na kuchoshwa kwa watu, lakini ushiriki mkubwa wa umma na msaada usiokatizwa kwa Mapinduzi na mfumo viligonga mipango yao yote na mfululizo wa kushindwa kwao ukaendelea.
-
Umoja wa Mataifa Wakaribisha Hatua ya Uingereza, Kanada na Australia Kuhusu Palestina
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika taarifa yake amesema kuwa hatua ya kutambua rasmi Taifa la Palestina iliyochukuliwa na Uingereza, Kanada na Australia ni jambo muhimu na la kimaendeleo, kama sehemu ya suluhisho linalojulikana kama mpango wa mataifa mawili.
-
Msemaji wa Jeshi la Yemen: "Tumeushambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion"
Operesheni za Yemen zitaendelea hadi vita na mzingiro dhidi ya Gaza utakapositishwa.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."