msemaji
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Wale waliotekeleza uhalifu huko Ghaza wanapaswa kufikishwa mbele ya Mahakama
Msemaji wa serikali, huku akionyesha unga mkono kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza, alisisitiza kuwa: kusitishwa kwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Ghaza si mwisho wa safari, na wale waliotekeleza na waliyoamuru uhalifu huu wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama za kimataifa.
-
UNRWA: Israeli inaua Wapalestina 100 kila siku katika Ukanda wa Gaza
Msemaji wa Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) alisema kwamba Israeli inaua Wapalestina 100 kila siku katika Ukanda wa Gaza.
-
Ismail Baghaei – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran:
Amesema kuwa taarifa ya Kundi la G7 kuhusu kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran ni ya kinafiki na yenye upotoshaji.
Ismail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, amelaani na kulikemea tamko la Kundi la G7 kuhusu suala la nyuklia la Iran, akilitaja kuwa ni la kinafiki na kupotosha ukweli.
-
Jenerali Shakarchi: Uzalishaji wa Makombora ya Iran Hautasimama Kamwe / Uzoefu wa Libya Umeonyesha Kuondoa Silaha Kunaleta Uharibifu Tu
Shakarchi aliongeza: Adui walidhani kuwa kuendelea kwa vita zaidi ya wiki moja kutasababisha uchovu na kuchoshwa kwa watu, lakini ushiriki mkubwa wa umma na msaada usiokatizwa kwa Mapinduzi na mfumo viligonga mipango yao yote na mfululizo wa kushindwa kwao ukaendelea.
-
Umoja wa Mataifa Wakaribisha Hatua ya Uingereza, Kanada na Australia Kuhusu Palestina
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika taarifa yake amesema kuwa hatua ya kutambua rasmi Taifa la Palestina iliyochukuliwa na Uingereza, Kanada na Australia ni jambo muhimu na la kimaendeleo, kama sehemu ya suluhisho linalojulikana kama mpango wa mataifa mawili.
-
Msemaji wa Jeshi la Yemen: "Tumeushambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion"
Operesheni za Yemen zitaendelea hadi vita na mzingiro dhidi ya Gaza utakapositishwa.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."