utafiti
-
Theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia
Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
-
Ripoti ya Kituo cha Utafiti cha Pew: Kwa nini Wamarekani wengi wanaacha dini yao?!
Utafiti mpya wa Kituo cha Utafiti cha Pew unaonyesha kuwa ubora wa uzoefu wa kidini katika utoto ndio sababu kuu inayochangia ikiwa watu wa Marekani watabaki na dini yao au kuiacha wanapokuwa watu wazima.
-
Utafiti Mpya: Wanawake Waislamu Wakabiliwa na Kiwango Kikubwa cha Kutokuwa Salama Katika Usafiri wa Umma Uingereza
Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi mpya, wanawake Waislamu nchini Uingereza wanakabiliana na hisia kubwa ya kutokuwa salama na viwango vya juu vya unyanyasaji katika mitandao ya usafiri wa umma. Ripoti inaonyesha kuwa wengi wao hulazimika kubadili mwenendo wao wa safari kutokana na hofu ya usalama wa kibinafsi—ikiwemo kuepuka kusafiri nyakati fulani, kubadilisha mavazi yao, au kutumia teksi kwa gharama zao wenyewe.
-
Profesa wa Chuo Kikuu cha Indonesia katika mahojiano na ABNA:
“Iran ni mfano wa kipekee wa maendeleo ya kisayansi na uimara dhidi ya vikwazo – ni lazima mtu aione kwa macho yake”
Amesema kuwa uongo mwingi kuhusu Iran unatolewa na taasisi zinazopingwa na msimamo wa Iran wa kusimama dhidi ya Marekani na Israel. Hata hivyo, baada ya vita vya siku kumi na mbili, wanafikra wengi duniani wamekiri wazi kwamba Iran ndilo taifa pekee lililosimama dhidi ya dhulma kwa njia ya kivitendo, si kwa maneno tu.
-
Kuimarika kwa nafasi ya Hamas katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi
Shirika la habari la Kipalestina Shehab limeandika kuwa, kwa mujibu wa takwimu za utafiti wa maoni ya wananchi uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Mitazamo ya Umma na Utafiti wa Kijamii, Hamas inaongoza kwa umaarufu katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania Kimeandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu Ustaarabu wa Magharibi na Mikakati yake ya Kikoloni
Ustaarabu wa Magharibi na misingi ya kuuelewa ipasavyo.
-
Kufanyika kwa warsha maalumu yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” huko Qom
Kitengo cha Utafiti cha Jame’atuz-Zahra (s) kwa kushirikiana na Shirika la Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu, kinatarajia kuandaa warsha maalumu ya kitaalamu na ya kiutendaji yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” katika muktadha wa Tuzo ya Kimataifa ya Shahidi Sadr.
-
Amir Pourdastan: Moyo wa taifa la Iran unapaswa kujitolea kwa vikosi vya jeshi
Mkuu wa Kituo cha Tafiti za Kimkakati cha Jeshi alisema: Wananchi wa Iran wawe na moyo thabiti na wawe na utulivu, na wafahamu kuwa watoto wao na ndugu zao walioko jeshini wana ujuzi na maandalizi ya kutosha.
-
Mpango wa Kubadilisha Paradigm ya Mapinduzi ya Kiislamu; Mbinu ya Ubeberu wa Dunia kwa Ajili ya Kutawala Taifa la Iran
Kikao cha kitaalamu chenye mada ya “Ukosoaji na Uchambuzi wa Mpango wa Kubadilisha Paradigm katika Mapinduzi ya Kiislamu; maana na sababu zake kwa mujibu wa fikra za Imam Khomeini (r.a) na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu” kimefanyika kwa juhudi za Idara Kuu ya Utafiti wa Kiislamu ya Shirika la Utangazaji la Taifa.
-
Chuo Kikuu cha al-Mustafa (s) Dar es Salaam - Tanzania Chaandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu: "Dakika za Mwisho za Maisha ya Mtume Muhammad (s.a.w.w)"
Mtoa Mada: Sheikh Taqi Zakariya. Tarehe: Jumamosi, 16-08-2025. Muda: Kuanzia Saa 4:00 Ask Asubuhi hadi 6:00 Mchana. Eneo: Muswalla wa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam. Mwaliko huu ni kwa Wote.
-
Utafiti wa Kielimu – Nguzo ya Elimu ya Kudumu - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salaam - Tanzania
Mubahatha na Utafiti wa Kielimu ni moyo wa Elimu ya Kiislamu. Kupitia mijadala ya kielimu, Wanafunzi hubadilishana maarifa, kufungua milango ya utafiti, na kuimarisha uelewa wa kina wa masomo yao. Ukweli ni kwamba: Elimu bila Mubahatha ni kama mwili bila roho. Hupotea taratibu, na haidumu katika fikra za Mwanafunzi.