uwanja
-
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran Wawashukuru Wananchi wa Jordan na Kutangaza Kulenga Ndege za Marekani Katika Uwanja wa Ndege wa Aqaba
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran wamewashukuru wananchi na wanajeshi wa Jordan kwa taarifa walizodai zilisaidia katika mashambulizi dhidi ya vituo vya Marekani, huku wakitangaza kulenga ndege za kijeshi za Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Aqaba.
-
Kwa Nini Iran Ililenga Kambi ya Al-Tanf? Ujumbe wa Kisiasa Unaozidi Ewanja wa Vita
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) wameripotiwa kulenga kambi ya kijeshi ya Marekani ya Al-Tanf, kusini mwa Syria, katika awamu ya 11 ya operesheni ya “Nasr 2”, huku wachambuzi wakisema umuhimu wa shambulizi hilo unaweza kuwa mkubwa zaidi katika ujumbe wake wa kisiasa na kimkakati kuliko matokeo yake ya moja kwa moja ya kijeshi.
-
Yemen yatangaza kurejesha safari za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, yasema imevunja mzingiro
Mamlaka za Yemen zimetangaza kuwa ndege ya Iran itarejea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a na safari za kila siku zitaanza tena, zikisisitiza kuwa zimeamua kuvunja mzingiro na kwamba hakuna nchi itakayozuia haki yao ya kutumia uwanja huo wa ndege.
-
Ansarallah yaonya kulenga miundombinu muhimu ya Saudi Arabia katika hatua yake ijayo
Mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarallah ya Yemen, Mohammed al-Bukhaiti, amesema kuwa miundombinu muhimu ya Saudi Arabia inaweza kulengwa katika majibu yao yajayo, akieleza kuwa maeneo hayo yanachukuliwa kuwa malengo halali kwa mujibu wa msimamo wa harakati hiyo.
-
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian Awasili Najaf Kushiriki Mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq kwa ajili ya kushiriki katika mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ambapo alipokelewa na Waziri Mkuu wa Iraq pamoja na viongozi wengine waandamizi wa nchi hiyo.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Tuliyaonya Mataifa Jirani Kuhusu Silaha za Marekani na Tutaendelea Kulinda Maslahi Yetu
Makamu wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema Tehran iliziarifu rasmi nchi jirani kuwa silaha zozote za Marekani zitakazoingia Iran kupitia Ardhi zao, Ardhi hizo zitachukuliwa kuwa sehemu ya uwanja halali wa kujilinda wa Iran.
-
Uholanzi Yazindua Kumbukumbu ya Kugusa Hisia za Wahanga wa Gaza kwa Maelfu ya Viatu vya Watoto
Maelfu ya viatu vya watoto na picha za waandishi wa habari waliouawa Gaza zimeoneshwa katika uwanja wa Den Bosch nchini Uholanzi katika tukio la kumbukumbu lililolenga kuwakumbuka zaidi ya watoto 21,000 waliopoteza maisha na kulaani ukimya wa kimataifa kuhusu janga hilo.
-
IRGC Yatangaza Mashambulizi ya Kulipiza Kisasi Dhidi ya Kambi ya Marekani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limesema limelenga kambi ya kijeshi ya Marekani baada ya shambulizi lililoripotiwa kufanywa karibu na Uwanja wa Ndege wa Bandar Abbas, likionya kuwa uchokozi wowote dhidi ya Iran utakabiliwa na majibu makali zaidi.
-
Operesheni ya Kisaikolojia huko Karbala: Uchambuzi wa Kihabari wa Ujumbe wa Imam Hussein (a.s) kabla na baada ya Ashura
Mapinduzi ya Imam Hussein (a.s) hayakuwa vita vya kijeshi pekee; bali yalikuwa vita kamili vya kihabari na kisaikolojia vilivyolenga nyoyo na akili za watu. Kuanzia mahubiri ya Makka hadi ujumbe ulioandikwa kwa damu huko Karbala, Imam Hussein (a.s) aliwezaje kuhamasisha maoni ya umma dhidi ya utawala wa Yazid? Uchambuzi wa mkakati wa mawasiliano wa Imam (a.s) katika mojawapo ya nyakati nyeti zaidi katika historia ya Kishia, unaonesha mfano wa kipekee wa uanaharakati wa kihabari unaosimama juu ya ukweli.
-
Umoja wa Waislamu na kuunga mkono Iran kama mstari wa mbele wa kulinda Quds ni jambo la lazima
Mwanafikra mashuhuri wa Algeria amesisitiza kuwa umoja wa Waislamu, kuacha misimamo ya chuki za kimadhehebu na kuunga mkono Iran kama ngome ya mbele ya kulinda Quds (Msikiti wa Al-Aqsa) na Umma wa Kiislamu ni jambo la lazima, na kwamba mataifa pamoja na wanazuoni wa Kiislamu wanapaswa kusimama bega kwa bega na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja za vyombo vya habari, siasa, utamaduni na usalama.
-
Kutua kwa Ndege ya Elfu Moja Iliyobeba Silaha katika Uwanja wa Ndege wa Ben-Gurion huko Tel Aviv
Ndege ya elfu moja iliyobeba silaha na rasilimali za kijeshi tangu kuanza kwa vita vya Gaza, kama sehemu ya daraja kubwa la anga la Israel, imepataja kwenye uwanja wa ndege wa Ben-Gurion.
-
Kufungwa kwa Uwanja wa Ndege wa Sana’a kumeweka maisha ya maelfu ya wagonjwa katika hatari
Kwa kuendelea kwa mzingiro na kusitishwa kwa shughuli za Uwanja wa Ndege wa Sana’a, maelfu ya wagonjwa wa Yemen wamenyimwa upatikanaji wa dawa na fursa ya kutibiwa nje ya nchi.
-
Je, ilikuwa sahihi kutumia vijana baleghe wachanga katika Vita vya Kulazimishwa (Vita vya Iran na Iraq)?
Nchi kadhaa za Ulaya, ikiwemo Ujerumani, zimeruhusu kisheria ajira ya zaidi ya watoto askari 1,500 chini ya utaratibu wa kipekee wa jeshi.
-
Ustahimilivu wa waandishi wa habari wa Yemen kutoka Sana'a hadi Gaza:
Kuanzia kwa kuuawa shahidi kwa waandishi wa habari 32 wa Kiyemeni hadi kusimama imara kwa mwandishi wa Al-Masirah chini ya mashambulizi ya mabomu Gaza
Waandishi wa habari wa Kiyemeni walipaa (walipata shahada) wakiwa wamesimama imara katika 'uwanja wa maneno', wakikabiliana na adui na 'mradi wa uharibifu wa uvamizi wa kimataifa' unaoongozwa na Marekani, hadi wakapata shahada.
-
Sauti za Mshikamano wa Mexico na Palestina katika Barabara za Jiji Kuu
Maelfu ya wananchi mjini Mexico City waliungana katika maandamano makubwa yaliyopewa jina “Mexico kwa Palestina”, wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani, huku wakidai kusitishwa kwa mauaji ya kimbari Gaza na kutumwa haraka kwa misaada ya kibinadamu.
-
Matembezi ya Kumbukizi ya Kifo cha Mtume Muhammad (s.a.w.w) Kuandaliwa Dar es Salaam kupitia Hawzat Imam Swadiq (as)
Tukio hili linatarajiwa kuwa jukwaa la mshikamano wa Kiislamu na nafasi ya kumuenzi Mtume wa Rehema (s.a.w.w) kwa ibada, dua na kuonesha mapenzi yetu kwake.
-
Kuanza kwa Mchakato wa Kuondoka Kikamilifu kwa Vikosi vya Marekani kutoka Baghdad kuelekea Erbil Mwezi Septemba
Chanzo cha serikali ya Iraq kimetangaza kuwa vikosi vya Marekani vitaanza mchakato wa kuondoka kikamilifu mjini Baghdad kuanzia mwezi Septemba 2025 na kuhamia Erbil, mji mkuu wa eneo la Kurdistan nchini Iraq.
-
Huduma za Afya Bure kutoka Kituo cha Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan katika Kituo cha "Waliobaki" wa Arubaini Rasiht
Katibu wa Kituo Maalumu cha Huduma za Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan ametangaza juu ya utoaji wa huduma za bure za kitabibu na afya na kikundi cha kijitolea cha “Huduma na Upinzani wa Razavi” wakati wa hafla ya waliobaki wa Arubaini ya Imam Husain (a.s) katika Uwanja wa Manispaa ya Rasht.
-
Binti Yangu, Hifadhi Heshima Yako, Lakini Kuwa Mshiriki Hai Katika Jamii!
Malezi ya mabinti ili wawe wa kijamii huku wakidumisha heshima na usafi wa tabia, yanahitaji kuzingatia vipengele mbalimbali vya malezi, maadili na maisha ya kijamii.