
11 Novemba 2024 - 13:06
News ID: 1503418

Kulingana na Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - inatabiriwa kuwa Donald Trump, kama marais wengine wa Marekani, atakuwa mfuasi mkubwa wa uvimbe wa saratani katika eneo la Kikanda (la Mashariki ya Kati) na watawala wake. Suala hili limekuwa mada ya Mchora Katuni wa Gazeti la Kimataifa la Al-Quds al-Arabi.
