11 Novemba 2024 - 13:06
Msimbo wa Habari: 1503418
Kulingana na Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - inatabiriwa kuwa Donald Trump, kama marais wengine wa Marekani, atakuwa mfuasi mkubwa wa uvimbe wa saratani katika eneo la Kikanda (la Mashariki ya Kati) na watawala wake. Suala hili limekuwa mada ya Mchora Katuni wa Gazeti la Kimataifa la Al-Quds al-Arabi.