12 Aprili 2025 - 15:53
News ID: 1548619
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (AS) - ABNA: Katika clip hii fupi, ni maelezo na ufafanuzi kutoka kwa Ayatollah Mohsen Faqihi, Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Seminari ya Qom akieleza ni kwa namna ipi Mwaandamu anaweza kuwa Mtumishi na Mja bora wa Mwenyezi Mungu (s.w.t).
Your Comment