Hayati rais John Atta Mills 68 ambaye alichaguliwa kuwa rais wa Ghana kwa kumshinda mpinzani wake Nana Akufo-Addo kwa kiasi kidogo cha kura mwaka 2008. Kufuatia kifo cha rais Attap-Mill, makamu wake wa urais John Dramani Mahama ameapishwa kuwa rais wa Ghana kuanzia sasa mpaka hapo uchaguzi wa rais mpya utakapo anza mwisho wa mwaka huu.
24 Julai 2012 - 19:30
Msimbo wa Habari: 331554
ABNA inatuarifu kuwa: Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki wakati alipokuwa akipata matibabu.Wananchi na wakazi wa Ghana, wameanza maombelezi mara tu baada ya taarifa za kufariki kwake.