-
UNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu
UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati elimu kutokana na uhaba wa shule, huduma za afya, na walimu wenye sifa.
-
Imam Baqir (a.s): Kutoka Machozi hadi Fikra
"Ninapokusoma jina lako, nakushukuru kwa ukubwa wa maarifa yako, na pia nakumbuka machozi yako ya utotoni huko Karbala...". Maisha ya Imam Muhammad Baqir (a.s) yamejazwa na mafundisho ya kina na nyakati za tafakari ambazo hazileti tu machozi kwa mioyo bali pia huamsha fikra na akili. Katika kipindi kigumu cha historia, alitumia hekima na maarifa kuleta mwanga mpya katika mafahimu za Dini.
-
Rais wa Baraza la Wawakilishi la Iran Awasilisha Zawadi ya Familia ya Shahidi Soleimani kwa Rais Maduro wakati wa Ziara Caracas
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.
-
Habari Pichani | Haram ya Imam Ali (a.s) imefunikwa kwa rangi nyeusi kufuatia kumbukumbu ya Shahada ya Imam Baqir (a.s)
Kulingana na Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (a.s) -ABNA- Maeneo yote ya Haram Tukufu ya Imam Ali (as) yamefunikwa kwa rangi nyeusi kuadhimisha kumbukumbu ya Shahada ya Imam Muhammad Baqir (as) pamoja na Muslim bin Aqil (as). Hii ni ishara ya maombolezo na heshima kutoka kwa wafuasi wa Madhehebu ya Shi'a kwa Imam huyo Mtoharifu.
-
Mbinu za Mwisho za Shetani Katika Sekunde za Mwisho za Maisha
Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini ya kuharibu imani ya mtu kwa maisha yote katika wakati wa mwisho. Ikiwa mtu hana imani thabiti, kuna hatari kwamba atarudi nyuma kutoka kwa imani yake na kufa bila dini.
-
Ripoti Pichani | Majlisi za Kuadhimisha Shahada ya Imamu Muhammad Al-Baqir (AS) huko Kabul - Afghanistan
Kulingana na Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) -ABNA- , sherehe za kuadhimisha shahada ya Imamu Muhammad Baqir (as) zilitangazwa katika Hawza ya Kidini ya Risalat Mjini Kabul, zikihudhuriwa na Ayatollah Salihi pamoja na baadhi ya wanachama wa Baraza la Wanafunzi wa Shia wa nchini Afghanistan.
-
Ukurasa wa Ukandamizaji wa Usalama huko Bahrain: Vita vya Serikali dhidi ya Wananchi vinaendelea
Serikali ya Bahrain imezidisha tena juhudi zake za kiusalama, kuanzisha wimbi jipya la ukandamizaji, kuwakamata na kuweka vizuizi vikali dhidi ya wapinzani, wanaharakati na hata wananchi wa kawaida; mkakati ambao umekuwa msingi wa kuendelea kwa utawala huu kwa miaka mingi.
-
Kiongozi wa Ofisi ya Maslahi ya Iran nchini Misri: Kwa safari ya Araghchi hadi Cairo, njia ya kuimarisha uhusiano imepata msukumo zaidi
Kiongozi wa Ofisi ya Maslahi ya Iran nchini Misri, akizungumzia ziara ya hivi karibuni ya "Sayyid Abbas Araghchi" mjini Cairo, alisema: Katika ziara hii, njia ya kuimarisha uhusiano imekuwa wazi zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) amewasili nchini Côte d'Ivoire na kukutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire (Ivory Coast)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) alikutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire mara tu alipowasili nchini humo.
-
Burundi | Majlisi ya Maombolezo ya Shahadat ya Imam Muhammad Baqir (a.s) imefanyika katika Hawzat ya Imam Zainul Abidin (a.s) + Picha
Shahada ya Imam (a.s) ni pigo kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu, hususan kwa wale wanaotambua nafasi yake tukufu na elimu yake adhimu.