ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • "Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"

    "Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"

    Maelezo yafuatayo yanaeleza matendo au sifa sita ambazo kuyatekeleza kunaweza kusababisha wokovu na kuingia peponi. Mambo haya sita ni nguzo za msingi za maisha ya kiimani na yenye kujitolea. Maandiko haya yanalenga, kwa kuyataja mambo haya, kutoa njia iliyo wazi kuelekea kwenye furaha ya Akhera.

    2025-08-12 22:40
  • Usafishaji Mkubwa wa Maficho ya ISIS katika Mikoa 4 ya Iraq

    Usafishaji Mkubwa wa Maficho ya ISIS katika Mikoa 4 ya Iraq

    Kwa kushirikiana na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya Iraq, maficho 10 na mitaro 3 imepekuliwa katika Kirkuk, huku pango moja la mawe katika mkoa wa Diyala likiharibiwa.

    2025-08-12 22:27
  • Wapenzi wa Imam Hussein (as) 36,000 wa Gilan Wajiandikisha kwa ajili ya Arubaini / Waanza Kurudi Nyumbani Taratibu

    Wapenzi wa Imam Hussein (as) 36,000 wa Gilan Wajiandikisha kwa ajili ya Arubaini / Waanza Kurudi Nyumbani Taratibu

    Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Arubaini mkoa wa Gilan ametangaza kuanza kwa kurejea taratibu kwa mahujaji wa Arubaini mkoani humo na kusema kuwa hadi sasa zaidi ya watu 36,000 kutoka Gilan wamejiandikisha kwenye mfumo wa Samah ili kushiriki katika maadhimisho ya kimataifa ya Arubaini ya Imam Husein (a.s).

    2025-08-12 22:16
  • "Msaada" na "Ulinzi" wa Familia na Ulinzi wa Sayyid al-Shuhada

    "Msaada" na "Ulinzi" wa Familia na Ulinzi wa Sayyid al-Shuhada

    Baba ni nguzo kuu ya familia na chanzo cha msaada na usalama; ulinzi wake wa hifadhi ya nyumba na malezi ya watoto ni dhamana ya ukuaji wa vizazi vijavyo na uthabiti wa jamii. Mikono yenye nguvu ya baba haileti tu riziki, bali kwa upendo na kujitolea hujenga kuta za kinga kwa ajili ya amani na ukuaji wa familia.

    2025-08-12 17:24
  • Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.

    2025-08-12 17:02
  • Ubaguzi Dhidi ya Wafuasi wa Shia Nchini Punjab: Serikali Yatumia Shinikizo na Vitisho Kukomesha Maandamano ya Arbaeen Husseini (as)

    Ubaguzi Dhidi ya Wafuasi wa Shia Nchini Punjab: Serikali Yatumia Shinikizo na Vitisho Kukomesha Maandamano ya Arbaeen Husseini (as)

    Serikali ya Punjab imewaita wamiliki wa vibali vya kufanya maombolezo, waandaaji wa vituo vya kutoa huduma za bure (maisha ya Sadaka) na wajumbe wa kamati za ulinzi, na kuwashinikiza watangaze rasmi kujitenga na matembezi ya Arbaeen kuelekea Karbala.

    2025-08-12 16:50
  • Ushiriki wa Ayatollah Bashir Hussein Najafi katika MatembezI ya Arbaeen Husseini + Picha

    Ushiriki wa Ayatollah Bashir Hussein Najafi katika MatembezI ya Arbaeen Husseini + Picha

    Katika tukio hilo, amesisitiza juu ya umuhimu wa kufanya ziara ya Imam Hussein (a.s) katika siku za Arbaeen na kudumisha thamani za kujitolea, uthabiti na imani.

    2025-08-12 16:08
  • Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa

    Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa

    Imam ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa na miongoni mwa fahari za nchi yetu, na ana sifa na tofauti na viongozi wengine wa kitaifa ambazo zinaonyesha ubora wake juu ya wengine.

    2025-08-12 15:58
  • “Inasikitisha kuwa waandishi wa habari wanauawa Gaza na baadhi wanaendelea kuwaunga mkono wavamizi”

    Mufti wa Oman:

    “Inasikitisha kuwa waandishi wa habari wanauawa Gaza na baadhi wanaendelea kuwaunga mkono wavamizi”

    Mufti wa Oman amelaani mauaji ya waandishi wa habari katika mji wa Gaza yaliyofanywa na jeshi la Israel, na kutamka masikitiko yake juu ya kuendelea kwa baadhi ya watu na nchi kuunga mkono wavamizi.

    2025-08-12 15:42
  • Larijani: Hezbollah Haina Haja ya Msimamizi au Mlezi

    Larijani: Hezbollah Haina Haja ya Msimamizi au Mlezi

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuhusu makundi ya upinzani wa ukombozi nchini Lebanon kwamba: Hezbollah na harakati za muqawama zina upeo wa juu wa fikra za kisiasa na hazihitaji mlezi.

    2025-08-12 14:16
  • Picha | Harufu Nzuri ya Bara Jeusi Kwenye Njia ya Mapenzi; Maukibu ya Kitamaduni ya Wapenzi wa Hussein as Yawakaribisha Mazuwwari wa 40 Nguzo No: 379

    Picha | Harufu Nzuri ya Bara Jeusi Kwenye Njia ya Mapenzi; Maukibu ya Kitamaduni ya Wapenzi wa Hussein as Yawakaribisha Mazuwwari wa 40 Nguzo No: 379

    Maukibu hii, iliyoanzishwa kwa jitihada za Sheikh Ismail Bokassa pamoja na kundi la wanaharakati wa kitamaduni, imepokea kwa shangwe kubwa wageni wa ziara na familia, na inasimulia uhusiano wa kina kati ya Afrika na harakati ya Ashura.

    2025-08-12 00:42
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom