Jijini
-
Shambulio dhidi ya Maadhimisho ya Hanukkah Sydney;
Matokeo ya Miaka Miwili ya Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wanawake na Watoto Gaza na Uwezekano wa Kujijeruhi kwa Wazayuni!
Gazeti la Sydney Morning Herald lilithibitisha kuwa katika tukio hili watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa, huku idadi kubwa ya washiriki wa sherehe hizo wakikimbilia maeneo tofauti na kujificha.
-
Maadhimisho ya kumbukumbu ya mashujaa wa mkoa wa Gilan wanaoishi mjini Qom yanatarajiwa kufanyika tarehe 2 Desemba
Mratibu wa Kamati ya Maadhimisho ya Mashahidi wa Gilan wanaoishi Qom amesema kuwa: Maadhimisho ya nne ya mashahidi wa Gilan wanaoishi mjini Qom yatafanyika jioni ya tarehe 11 Azar, sambamba na kukumbuka siku ya kuuawa kishahidi Mirza Kuchak Khan Gilani, katika Husainiya ya Bwana wa Mashahidi (a.s) jijini Qom.
-
Askofu Dkt.Gabriel O.Maasa Aiwakilisha Vyema JMAT-TAIFA -Katika Ushirikiano wa Kijamii na Taasisi za Umma- Katika Kikao Kazi cha Kitaifa Jijini Arusha
Askofu Dkt. Maasa ameendelea kuacha alama ya kumbukumbu isiyofutika katika maisha ya jamii. Juhudi zake ni kielelezo cha dhati cha Falsafa ya JMAT-TAIFA - kuendeleza Maridhiano, Amani, Mshikamano na Ustawi wa Wananchi wote.
-
Wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Al-Mustafa (s) Foundation wakihuisha Usomaji wa Dua ya Nudba Leo hii Mbezi Beach, Jijini Dar-es-Salaam
Matukio kama haya ya Usomaji wa Dua mbalimbali yanaongeza moyo wa ibada miongoni mwa wanafunzi na hutoa nafasi ya kuungana kiroho katika jamii ya hawza hiyo, huku yakihimiza umuhimu wa dua kama silaha ya waumini katika maisha ya kila siku.
-
Mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika baadhi ya Makazi ya raia Jijini Tehran
Katika siku ya tatu ya uvamizi wake dhidi ya nchi yetu, utawala haramu wa Kizayuni ulilenga baadhi ya maeneo ya Tehran katika mfululizo wa mashambulizi makali.
-
Mashambulizi ya Kombora ya Harakati ya Jihad Islami Dhidi ya Ashdod na Ashkelon Kufuatia Uhalifu wa Israel
Harakati ya Jihad Islami Yajibu Jinai za Utawala wa Kizayuni kwa Kulenga Miji ya Ashdod na Ashkelon Harakati ya Jihad Islami imejibu uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kulenga kwa makombora miji ya Ashdod na Ashkelon. Kufuatia mashambulizi hayo, king’ora cha tahadhari kilisikika mjini Ashkelon, huku vyombo vya habari vya Israeli vikieleza kuwa kombora moja limenaswa angani juu ya jiji hilo.
-
Mahusiano ya Kijamii ya Kituo cha Utamaduni cha Iran Nchini Tanzania - Dar-es-salaam
Kituo cha Utamaduni cha Iran kipo tayari kutoa Ushirikiano katika nyanja za Utamaduni na Elimu.