Kuzaliwa
-
Mkurugenzi wa Ofisi ya Jumuiya ya Kiislamu ya Ahlul-Bayt (a.s) nchini Lebanon akutana na Sheikh Ahmad Qablan
Mkutano huo uliandaliwa kwa mnasaba wa kuzaliwa kwa Bibi Zainab (a.s), ambapo Nakhai alitoa taarifa kuhusu maendeleo na utekelezaji wa programu mbalimbali za Jumuiya hiyo nchini Lebanon.
-
Watu wa Iran na Jeshi Watasimama na Qatar: Kamanda Mkuu
Shambulio dhidi ya Qatar lisingeweza kutokea bila kupata idhini kutoka Washington.
-
Jamiatul Mustafa (s) Yaandaa Maadhimisho ya Maulid Al-Nabi, Dar-es-Salaam - Tanzania | Fursa ya Kusherehekea Kuzaliwa kwa Mtume Wetu Muhammad(s.a.w.w)
Maulid hii itafanyika Tarehe 07-09-2025, Pweza Beach Road - Kigamboni, Dar-es-salaam.
-
Kuzaliwa kwa mtoto wa Kiajemi (Muiran) wa Arubaini katika Hospitali ya Zainul-Abidina (a.s) Karbala
Mama mjamzito kutoka mkoa wa Yazd, ambaye alihudhuria matembezi ya Arubaini 1446, amejifungua mtoto wake katika Hospitali ya Hadrat Sayyid Zaynul Aabidin (a.s) mjini Karbala.