Moto
-
Walowezi wa Israel Wateketeza Msikiti katika Ukingo wa Magharibi
Wizara ya Awqaf (Wakfu) na Mambo ya Kidini imesema kuwa walowezi walivamia Msikiti wa Hajjah Hamidah uliopo Salfit, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi, na kulitaja tukio hilo kuwa “jinai ya kinyama na shambulio la wazi dhidi ya hisia za Waislamu.”
-
Mwenge wa “Dhoruba ya Al-Aqsa” hautazimika
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa: Mwenge wa “Dhoruba ya Al-Aqsa” utaendelea kuwaka daima, ukiwapulizia roho ya kusimamia haki, misingi, na umoja wa kitaifa. Moto wake katika nyoyo za taifa letu kubwa hautazimika kamwe, ijapokuwa kujitolea ni kwa gharama kubwa na nguvu za adui ni nyingi.
-
Moto Katika Msikiti wa Kihistoria wa Cordoba, Hispania
Moto uliotokea usiku katika Msikiti wa Cordoba, Hispania — ulio na historia ya zaidi ya miaka 1,000 — umezimwa kwa haraka na vikosi vya uokoaji.
-
Kudhibiti Moto wa Misitu na Kutojali kwa Gavana wa Bamiyan Kuhusu Uhamishaji wa Lazima wa Waislamu wa Kishia nchini Afghanistan
Wakati serikali ya muda ya Taliban imetangaza kuwa Gavana wa Mkoa wa Bamiyan, Mawlawi Abdullah Sarhadi, alifika haraka eneo la tukio na kuongoza operesheni ya kuzima moto wa misitu kama ishara ya kujali mazingira, ripoti nyingine zimeripoti uhamishaji wa lazima wa makumi ya familia za Kishia na jamii ya Wahazara kwa amri ya kiongozi huyo huyo wa Taliban – jambo lililosababisha hasira na taharuki kubwa miongoni mwa wananchi na wanaharakati wa kiraia.