Idadi ya Mazuwwari wa Madhabahu ya Imam Ali (AS) iliweka rekodi katika siku ya 21 ya Ramadhani, na mwaka huu, mahujaji milioni moja na 500,000 zaidi wametembelea (wamezuru) Madhabahu ya Alawi kuliko mwaka jana.
Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa mwanzo wa mwaka mpya wa 1404 Hijria Shamsia, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameutaja mwaka mpya kuwa ni mwaka wa "Uwekezaji kwa ajili ya Uzalishaji".