Ujasusi
-
Mchambuzi wa Zamani wa CIA: Marekani na Israel Zinajaribu Kuhujumu Mazungumzo na Iran
Mchambuzi wa zamani wa CIA Larry Johnson amesema mashambulizi dhidi ya Iran wakati mazungumzo yakiendelea yanaashiria juhudi za kuhujumu mchakato wa kidiplomasia, akionya kuwa huenda eneo hilo likashuhudia duru mpya ya mvutano katika siku zijazo.
-
Jenerali Qassim Soleimani Aliwahi Kutoa Onyo Kuhusu “Ujasusi wa Luna Al-Shibl”
Jarida la Saudia Al-Majalla limedai kwamba Shahidi Qasem Soleimani aliwahi kuwaonya maafisa wa Syria kuhusu Luna Al-Shibl kuwa jasusi.
-
Turki Al-Faisal: Israel ndiyo tishio kuu kwa uthabiti wa eneo hili; si Iran
Chaguo la Nyuklia kwa Riyadh: Al-Faisal, alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Saudi Arabia kuendeleza uwezo wa nyuklia, alisema: “Hili ni chaguo ambalo Riyadh inapaswa kulichunguza kwa uzito na kwa umakini mkubwa.”
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Mtandao wa Ujasusi wa Marekani na Israel Wavunjwa katika Mikoa Kadhaa ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mtandao huu wa waagizwaji wa uovu ulipangwa kutekeleza shughuli za kuhujumu usalama wa taifa katika nusu ya pili ya msimu wa vuli mwaka 1447H / (2025).
-
Lebanon imekamata watu 32 kwa tuhuma za kushirikiana na Israel kama majaribio ya kijasusi
Maafisa wa Lebanon wameripoti kwamba angalau watu 32 wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na Mossad na kupeleka taarifa za kina kuhusu nafasi na harakati za Hezbollah kwenda Israel wakati wa vita vya hivi karibuni.
-
Falme za Kiarabu, mkono wa Washington na Tel Aviv katika vita ya kijasusi dhidi ya Yemen
Falme za Kiarabu, kwa kubadilisha kambi zake za kijeshi za zamani katika Shabwah na Hadhramaut kuwa vituo vya kijasusi vinavyohusiana na Washington na Tel Aviv, zinacheza jukumu kubwa katika mipango mipya ya ujasusi dhidi ya Yemen.