Ujasusi
-
Utafiti unaonyesha kuwa maeneo ya nyuklia ya Iran yaliyoshambuliwa na Marekani bado yanafanya kazi kama kawaida - Iran iliwahadaa na kutoa kila kitu
"centrifuges" (au kwa kiswahili: Visukuma ambavyo hutumika katika teknolojia ya nyuklia) zote ziko salama, na ambazo hutumiwa kimsingi kwa urutubishaji wa uranium, mchakato ambao hutenganisha isotopu za uranium ili kuongeza mkusanyiko wa U-235, ambayo huhitajika kwa vinu vya nyuklia.
-
Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo
Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.
-
Kuendelea kuwepo kwa Marekani nchini Afghanistan kinyume na misimamo rasmi ya pande husika / Ujasusi na vitisho vya Marekani kwa nchi za eneo
Ingawa Marekani kwa dhihiri imeondoa majeshi yake kutoka Afghanistan, ripoti na kauli za Donald Trump zinaonyesha kuwa msingi mmoja wa kimkakati bado uko chini ya udhibiti wa Marekani nchini humo. Washington inatumia kambi hii kufanikisha malengo kama vile ufuatiliaji wa taarifa za kijasusi kuhusu Iran, China na Urusi, pamoja na kuhifadhi ushawishi wake katika Asia ya Kati.