16 Juni 2025 - 14:47
Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo

Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- , Ismail Fikri, ambaye alikuwa akifanya ujasusi kwa manufaa ya utawala wa Kizayuni, alinyongwa baada ya kupitia mchakato mzima wa makosa ya jinai na kuthibitisha na kukamilisha hukumu hiyo katika Mahakama ya Juu.

Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo

Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.

Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha