Dola
-
Shinikizo la Marekani kwa Baghdad; Makundi ya Muqawama: Hatufutiki kisiasa
Chanzo cha karibu na makundi ya Muqawama kilisema: “Muqawama na al-Hashd al-Shaabi pamoja na washirika wao wana angalau viti 97 bungeni, na wao ni sehemu isiyotenganishwa na mlinganyo wa kisiasa wa Iraq. Washington ilishindwa hapo awali kuyadhibiti makundi ya muqawama, na leo pia haitafanikiwa kwa vitisho vya kidiplomasia.” Chanzo hicho kiliongeza: “Sharti letu ni wazi; Waziri Mkuu awe huru, asiye tegemezi kwa Marekani, na anayewakilisha vipengele vyote vya nyumba ya taifa ya Iraq.”
-
Jenerali Qassim Soleimani Aliwahi Kutoa Onyo Kuhusu “Ujasusi wa Luna Al-Shibl”
Jarida la Saudia Al-Majalla limedai kwamba Shahidi Qasem Soleimani aliwahi kuwaonya maafisa wa Syria kuhusu Luna Al-Shibl kuwa jasusi.
-
Rais Samia na Marekani Wathibitisha Ushirikiano wa Kimkakati kwenye Miradi Mikubwa ya Uwekezaji
Kwa upande wake, Balozi Lentz alieleza kuwa ushirikiano wa Tanzania na Marekani umejengwa katika misingi ya ustawi wa pamoja, si utegemezi wa misaada, na kupongeza juhudi za Tanzania chini ya falsafa ya 4R na Dira ya Maendeleo ya 2050. Takribani makampuni 400 ya Marekani yanafanya kazi nchini, jambo linaloonesha kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji.
-
Mchango wa Dola Milioni 6.5 wa Adnan Ar’ur Wazua Gumzo Kubwa Mitandaoni: Fedha hizo Zimetoka Wapi?
Adnan Ar’ur, mwanazuoni wa Kisalafi kutoka Syria, amezua mjadala mpana baada ya kutangaza kuchangia dola milioni 6.5 kwa ajili ya kampeni ya “Fidaa Li-Hamāh”. Taarifa hii ilisababisha mijadala mingi katika Syria na kwenye mitandao ya kijamii.
-
Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran
Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba: “Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”
-
Libya yageuka kuwa kitovu cha uhalifu wa kimataifa wa mipakani
Ripoti hiyo imeeleza kuwa kutokuwepo kwa utulivu wa kisiasa na kiusalama nchini Libya kumesababisha nchi hiyo kuwa njia kuu ya kupitisha silaha na bidhaa haramu kutoka kusini mwa Afrika kuelekea Bahari ya Mediterania. Barabara ya kaskazini sasa imekuwa njia kuu ya uhalifu wa kimataifa inayounganisha ukanda wa Sahel na Ulaya.
-
Lebanon imemwachilia kwa dhamana ya dola milioni 11 mwana wa Muammar Gaddafi
Mamlaka ya mahakama ya Lebanon siku ya Ijumaa ilimwachilia kwa masharti Hannibal Gaddafi, mwana wa Muammar Gaddafi, baada ya kuweka dhamana ya dola milioni 11. Jaji husika katika Jumba la Mahakama la Beirut alimfikisha Hannibal mahakamani kwa mara ya kwanza tangu alipokamatwa.
-
Mali yaanzisha ada kubwa ya viza kwa raia wa Marekani kufikia dola 10,000
Serikali ya Mali imeamua “kuanzisha utaratibu wa viza wa kisawa” kwa raia wa Marekani wanaoingia nchini humo
-
Afisa wa Kizayuni anaonya juu ya kupanda kwa gharama ya kupanua vita vya Gaza
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.
-
Gazeti la Wall Street Journal: Israel haiwezi kumudu zaidi ya wiki mbili kwenye vita na Iran
Gazeti hili pia limeelezea kwa kina gharama za vita vya Israel, likisema kuwa gharama za kuzuia kila roketi la Iran kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa angani ya Israel zitakuwa kati ya Dola laki saba (700,000) hadi Dola Milioni Nne (4).
-
Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo
Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.