Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.
Gazeti hili pia limeelezea kwa kina gharama za vita vya Israel, likisema kuwa gharama za kuzuia kila roketi la Iran kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa angani ya Israel zitakuwa kati ya Dola laki saba (700,000) hadi Dola Milioni Nne (4).
Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.